Keren_Happuch
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 1,874
- 935
Usisahau kuwa mafuta ya taa yamepanda bei........so maisha ya koroboi nayo yapo hatiani..................
Kweli kabisa kule vijijini hali ni mbaya zaidi, baada ya wiki moja ataonekana kama mzee!!!
kwahyo huko unapoenda umeme upo?We unaona huu mgao ni wautani hee? Au we ni sehemu ya familia ya Ngeleja?Nipo Msamvu naanza kuitafu Iringa kilaiiini!!
Mkuu Katavi, hii avatar yako inatisha sana bana, bora ile ya zamani......
Usisahau kuwa mafuta ya taa yamepanda bei........so maisha ya koroboi nayo yapo hatiani..................
Kweli kabisa kule vijijini hali ni mbaya zaidi, baada ya wiki moja ataonekana kama mzee!!!
Kweli kabisa kule vijijini hali ni mbaya zaidi, baada ya wiki moja ataonekana kama mzee!!!
Najua kuwa umeme huko hauko na sifuati umeme! Kinachonikera hapa mjini ni kuziona tranzifoma na nyaya ilihali umeme siuoni! Hivyo bora nika tumie vijinga na vibatari tu kijijini!kwahyo huko unapoenda umeme upo?
sawa kaka. Nipo stand ukipita nipungie mikono.Najua kuwa umeme huko hauko na sifuati umeme! Kinachonikera hapa mjini ni kuziona tranzifoma na nyaya ilihali umeme siuoni! Hivyo bora nika tumie vijinga na vibatari tu kijijini!
sambi kwa nguluvi, wahungilage! Usisahau ugimbi (mdindifu) pa ilula. Na mapinigesi, mafrox, delega na mhaka.Nipo Kitonga!
Nishapita Ilula mkuu naingia iringa mjini kazi iliyobaki ni kufika kijijini kwetu tu !sambi kwa nguluvi, wahungilage! Usisahau ugimbi (mdindifu) pa ilula. Na mapinigesi, mafrox, delega na mhaka.
Mimi ni mmoja wa watu ambao hawapendwi na ccm kiasi kwamba leo magamba wakisikia nimerest in peace wataandaa sherehe pale Lumumba! Nimmoja ya watu waliokwamisha kwangu zote uchakachuaji wa kura ulioratibiwa pale K/nyama!Huyu jamaa alikuja mijini kuwapigia Kura CCM huku mjini baada ya kupewa tishirt na kofia imekula kwake..Hiv nauli unayo?au tukuchangie
Rais wako yuko nje kaenda kuhemea.....halafu alisha wahi kusema hata wafukuza mjini sijui alikuwana maana gani lakini nilivyo mwelewa nikwamba mtarudi wenyewe vijijini...pole sana mkuuAheri nirudi kijijini vava segito de yani nikiendelea kuwepo hapa mjini mwishowe nitaozea segerea bureeeee kisa Ngeleja na genge lake la ccm fu****k Tanesco!!Makampuni yangu yanazidi kufilisika na wafanyakazi hawaelewi somo, hali ni mbaya vandugu!!
Nipo morogoro mida hii nimepanda Luwinzo Express!
sasa unakimbia wafanyakazi wako? Si watagawana? Duh!Aheri nirudi kijijini vava segito de yani nikiendelea kuwepo hapa mjini mwishowe nitaozea segerea bureeeee kisa Ngeleja na genge lake la ccm fu****k Tanesco!!Makampuni yangu yanazidi kufilisika na wafanyakazi hawaelewi somo, hali ni mbaya vandugu!!
Ahahahaaah!!! Mbona ya kawaida mkuu....
Ni kweli mkuu,,,,
Rudia avator yako ya zamani mkuu ile iko poa sana.....
We Katavi toa hii inatisha weka ile ya mwanzo.
Hivi unazitoa wapi za hivi?