Mkwaruzo
JF-Expert Member
- Feb 21, 2011
- 563
- 98
Wengi husherehekea birth date zao kila zinapofika. Huwa hawajali kuwa wameupunguza mwaka wao mzima wa maisha yao huku pengine hakuna hata moja alilolifanya la maana la kujisifia hata yeye mwenyewe mbali ya kumsifia sisi.... Na kwanini tusiseme tunamshukuru Mungu kwa kutuwezesha kuufikia mwaka mwengine? Now birth date yangu imekaribia ila nahisi sipaswi kuifurahikia bali wa kuifurahikia ni wengine kama tu lipo la kufurahikia uzao wangu. Sijuwi nipo sawa au sijitendei haki???