.........
........Huyo wa miaka 26 nadhani hajatulia, hadi anataka kujishikisha mimba kwa ajili mje mfunge ndoa...........mhhhhhhh!! Mie ananitia mashaka mbona ana kihere here sana cha kuolewa?Ila mwenyewe umesema hapo ndipo moyo wako ulipo hivyo mkaka wewe mwenyewe chagua pumba na mchele hapo.
......Huyu wa 34 nahisi mtulivu japo umri umekwenda lakini hakupigii kelele za ndoa, na wewe ndio unamfahamu vizuri unasema hana makuu na anajiheshimu........umri sioni tatizo sana kama kweli umempenda, japo inapendeza mwanaume kumzidi mwanamke kiumri.Huyu wa 34 naona kama anafaa japo wewe naona kama humpendi kivileeeeeee!!
.
Wadada wazee waliojichelewesha huko utawajua tu kwa jinsi wanavyoteteana. Kijana mwenzangu nakushauri usioe ajuza huyo wa miaka 34, itakula kwako! Hapo menopause bado miaka 5 tu, mnaanza crisis ndani! Unapochukua kitu angalia na shelf-life yake bro.