Nashindwa kuamua ni njia ipi ya uzazi wa mpango nitumie,kwani zinazofaa zote zina madhara makubwa,sindano naogopa kitambi,kitanzi maumivu ya tumbo na kansa,kondom ikipasuka ni hatari na zingine zinawasha,vidonge adhabu kunywa kila kukicha,kila njia inamadhara.hapa nilipo nina watoto wawili ukiwaona kama mapacha.