Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,283
Frankly nimekubalika kwa baba ningali mzee...na namwona anavyopata shida kuni introduce kwa marafiki waliokua wanamjua usafi wake...Juzi kaolewa dada yangu...kiitifaki wanasimamisha baba,shangazi,dada na kaka wa bi harusi...kwa kua family yetu si kubwa sana baba aliamua kutambulisha mmoja mmoja...kimbembe kufikia kwangu...aah...i hate...Mungu anisaidie nisiwe 'km wanaume'...sitaki kua mnyonye kwa wanangu...