SAWEBOY
JF-Expert Member
- Apr 6, 2011
- 241
- 173
Nina Gf ambae nimeiishi naye miaka 4 bila kufunga ndoa na bahati mbaya kwa muda huo wote hakuweza shika mimba wala kuwa na mtoto before I meet her. Niliweka agano la ndoa na yeye, lakini kwa kuwa ile theory ya shake before use haikutimia kwa muda wa miaka minne ikanifanya niwe na mashaka naye huyu Gf.
Kutokana na hilo niliona ni vema nitafute msichana mwingine ili niweze ku-test ili kujua labda mie ndie mwenye tatizo, na hatiamaye nilibahatika kumpata binti mwingine na kushirikiana naye kimapenzi na hatiamye akapata mimba na sasa ana mtoto mwenye umri wa miezi saba. Hadi dakika hii nipo njia panda wakuu wana JF kwa sababu-:
1. Huyu Gf ninaye ishi naye ameshika mimba mwezi wa tano /mwezi ambao mtoto amezaliwa mtoto ambaye nimezaa na huyo binti mwingine.
2. Huyu Gf wangu nampenda sana na wala hajui habari hii ya mimi kuwa na huyu mtoto na mwanamke mwingine.
3. mtoto namhudumia vema toka mama yake akiwa na mimba til now na yupo copy right nami huyo mtoto.
USHAURI NIOMBAO HAPA JF.
(a). Huyu binti mwenye mtoto anataka nikamtambulishe mtoto kwa wazazi wangu sasa na hii itasababisha huyu Gf wangu ajue coz wazazi wanamjua na kumtambua , sasa nifanye nini juu ya hilo?
(b) Je ni mwambie huyu Gf wangu ukweli wa mambo hali na yeye ana mimba kwa sasa au nifanye nini wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushauri wenu.
Kutokana na hilo niliona ni vema nitafute msichana mwingine ili niweze ku-test ili kujua labda mie ndie mwenye tatizo, na hatiamaye nilibahatika kumpata binti mwingine na kushirikiana naye kimapenzi na hatiamye akapata mimba na sasa ana mtoto mwenye umri wa miezi saba. Hadi dakika hii nipo njia panda wakuu wana JF kwa sababu-:
1. Huyu Gf ninaye ishi naye ameshika mimba mwezi wa tano /mwezi ambao mtoto amezaliwa mtoto ambaye nimezaa na huyo binti mwingine.
2. Huyu Gf wangu nampenda sana na wala hajui habari hii ya mimi kuwa na huyu mtoto na mwanamke mwingine.
3. mtoto namhudumia vema toka mama yake akiwa na mimba til now na yupo copy right nami huyo mtoto.
USHAURI NIOMBAO HAPA JF.
(a). Huyu binti mwenye mtoto anataka nikamtambulishe mtoto kwa wazazi wangu sasa na hii itasababisha huyu Gf wangu ajue coz wazazi wanamjua na kumtambua , sasa nifanye nini juu ya hilo?
(b) Je ni mwambie huyu Gf wangu ukweli wa mambo hali na yeye ana mimba kwa sasa au nifanye nini wakuu.
Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa ushauri wenu.