punainen-red
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 1,731
- 450
Hebu mnunulie simu banaa! Halafu baada ya wiki mbili akwambie imedumbukia kwenye maji! Mnarudi kulekule kwenye simu mbovu. Inaonyesha umependa sana kaka kwamba bila yeye hakuna maisha?! Nachukia sana mtu anapokubali kuchezewa akili kizembe hivyo. Kwani unashindwa nini kumpa live huyo binti?! Agggggrrrrrrrrrh.