Nipo njia panda naomba msaada kwa hili

Hebu mnunulie simu banaa! Halafu baada ya wiki mbili akwambie imedumbukia kwenye maji! Mnarudi kulekule kwenye simu mbovu. Inaonyesha umependa sana kaka kwamba bila yeye hakuna maisha?! Nachukia sana mtu anapokubali kuchezewa akili kizembe hivyo. Kwani unashindwa nini kumpa live huyo binti?! Agggggrrrrrrrrrh.
 
Jamani ww kaka mbona unapata tabu bure,huyo dada wa watu keshakwambia nakupenda na anatimiza wajibu wake bila kujali umbali uliopo na pamoja na kujua una mchumba still amepata ujasiri wa kukueleza la moyon bado tu unaulizia cha kufanya na huyo anayekutafuta wakati wa shida zake,fungua macho yako usipoteze mda mpe nafasi anayekupenda acha kumbembeleza huyo asiyojua thaman ya penzi lako.


Nashkuru Cantalisia ntayafanyia kazi.
 
Naweza Kumleta huyu wa pili huku fasta si tatizo, nahisi ana feeling za kweli maana niliona dalili tangu Bongo ila sikuwa na hakika kwani nisingemchumbia huyu anaenisumbua. Lakini hata hivyo nitaamua baadae nikikasoma ushauri wenu Wakuu. Thanks sana.
 
Mkuu acha distance love wewe utapata pressure bure mi pia niko ughaibuni stuation yako inafanana na yangu tu,achana naye huyo wewe deal na huyo wa pili anayekujali.
habari zeni Great thinkers, Naanza kama ifuatavyo, Kitambo niliwahi kuomba msaada kupitia Jamvi hili kuhusu Mchumba wangu.
Mimi ni kijana wa Kiume Nilieko Ughaibuni na nilimchumbia Msichana mmoja baada ya kukubaliana, ingawa mwanzo alikuwa na whats so called "sitaki nataka".
Sasa tatizo lipo kwenye mawasiliano maana mimi ndo nipige simu kila wiki na kama sikupiga basi ndo haniulizi naweza kukaa wiki 3 nisipate hata sms 1. nikimuuliza oo simu haina credits, oo mara sim mbovu. Ila akiwa na shida ya kitu lazima atatuma sms na kwa namba hiohio yake. Mama yake aliniambia kweli sim ya mwanawe ina matatizo kweli na namuamini kwa hilo.
Kinachoniumiza na kujiuliza je kweli inawezekana mtu mchumba wake asiwasiliane nae hata sms kwa sim ya mtu mwengine kama ya Mama yake au Baba ake. Nahisi hana feelings kwangu au Mnanisaidiaje Kwa hili?

Jengine ni kwamba nilikuwa na mahusiano au urafiki na msichana mmoja hukohuko Tanzania kabla sijaondoka ila nilikuwa nikiyaona ya kawaida tu,
Kumbe Mwenzangu alikuwa na hisia za Kimapenzi kwangu kwani nilikuja kugundua wakati nishafika huku Ughaibuni, alinimkia mwenyewe baadae baada ya kujua nina mchumba tayari. Lakini anawasiliana nami kila siku ya Mungu mpaka naanza kumuonea huruma Kwa bidii yake.
Hebu jamani nipeni ushauri hapa maana sijui niamue nini mpaka sasa.
 
Tatizo mimi Napenda Waswahili wenzangu, Wazungu mm Hawanivutii Kabisa.
Bado yuko chuo na Pesa si sababu, anapata kama kawaida.

Huyu wa pili si mwizi kwani alionesha dalilizote tangu niko bongo, ila sikuzitilia maanani na yeye ndo nilimjua mwanzo kuliko huyu niliemchumbia.
Na kibaya zaidi nishapeleka maombi ya Visa ubalozi kwa ajili ya kumleta huku.
 
tafuta msichana huko huko hawa wa huku wako kimaslahi zaidi,tena huyo anayejua una galfriend na uko ughaibuni muogope.mwizi huyo kamata
mwizi meeeeeeeeeeeeeeeeeeeeen!
hujasema huyo galfriend wako ana kazi yenye kumuingizia kipato????inawezekana kweli anataka kuwasiliana na wewe sema hela hana,kama vipi uwe unamtumia hivyo vidola sijui pounds uone kama hawasiliani na wewe.....kusema ule ukweli mie ningewabwaga wote wawili ningerudi na mzungu....



Tatizo mimi Napenda Waswahili wenzangu, Wazungu mm Hawanivutii Kabisa.
Bado yuko chuo na Pesa si sababu, anapata kama kawaida.

Huyu wa pili si mwizi kwani alionesha dalilizote tangu niko bongo, ila sikuzitilia maanani na yeye ndo nilimjua mwanzo kuliko huyu niliemchumbia.
Na kibaya zaidi nishapeleka maombi ya Visa ubalozi kwa ajili ya kumleta huku.
 
Piga chini mwenyewe nilikuwa naye kama huyo nikaona ananipotezea time hana future,penda ulipopendwa,waambie hata kama kujaribiwa syo hvyo,hata muonja nyama huonja kipande syo unasema unaonja huku unamaliza nyama nzima.

Kama ulikuwepo prakatatumba , Mwanzo nilihisi ananijaribu na nilishamwambia mapema alipoanza tu mchezo huu ila naona anendelea.
 
Hebu mnunulie simu banaa! Halafu baada ya wiki mbili akwambie imedumbukia kwenye maji! Mnarudi kulekule kwenye simu mbovu. Inaonyesha umependa sana kaka kwamba bila yeye hakuna maisha?! Nachukia sana mtu anapokubali kuchezewa akili kizembe hivyo. Kwani unashindwa nini kumpa live huyo binti?! Agggggrrrrrrrrrh.


Kikukweli Huyu msichana nampenda mpaka basi na yeye anajua hilo nafkiri ndo maana anafanya anavyotaka. Sijawahi kumkaripia hata siku moja ili nisimuudhi. kuna mambo mengine si vizuri kuyasema ila kila anachotaka alikuwa najitahidi kumpatia. Nilipokua Bongo Kiufupi ni kuwa Mshahara wangu alikuwa na shea yake na ukifika mwisho wa mwezi lazima nimpatie, mbali matumizi mengine yanojitokeza katikati ya mwezi.
Simu hio anotumia nilimnunulia na hapa ishanunuliwa nyengine nilikuwa nafkiria kumtumia.
 
fais buku keshatangaza dau mjibu basi
kama uko USA wabongo wazuri wapo huko huna haja ya kuhangaika
leave the two girls in bongo wote hawaeleweki
 
Hawa wadada nina wasiwasi wote wanataka makaratasi; lol.
Unaweza ukawapeleka US ukajikuta umewapelekea wapopo.

Mfano huyo wa pili alikuwa anasubili nini kukwambia anakupenda.
Au umekuwa handsome baada ya kwenda US?


Tafuta msichana wa ki Tz huko huko uoe hachana na hawa wanaotaka visa?
fais buku keshatangaza dau mjibu basi
kama uko USA wabongo wazuri wapo huko huna haja ya kuhangaika
leave the two girls in bongo wote hawaeleweki
 
inaonekana ninyi nyote amjapendana,kwani naona unataka kuamia kwa huyo dada mwingine kwa sababu kuwa mpenzi wako wa mwanzo aeleweki,lakini hicho sio kigezo inabidi mkutane na inabidi wawe wazazi wa pande zote mbili muyaongee kama itashindika ndyo ufikilie kwa mwanamke mwingine
 
inaonekana ninyi nyote amjapendana,kwani naona unataka kuamia kwa huyo dada mwingine kwa sababu kuwa mpenzi wako wa mwanzo aeleweki,lakini hicho sio kigezo inabidi mkutane na inabidi wawe wazazi wa pande zote mbili muyaongee kama itashindika ndyo ufikilie kwa mwanamke mwingine

Nakubaliana na wewe Mkuu, Maana wakati wa kuchumbia sio mm niliepeleka ujumbe kuna watu wazima ndio waloniwakilisha. Hii ni Idea nzuri sana Nitawajulisha wazee niwasikilize wanasemaje. Thanks again Mkuu.
 
kusoma hujui hata picha huoni?mbona unalazimisha upendwe bro?hao wote hawakupendiii!kama unaweza kuongea mpk na mamake kuwa cm yk mbovu kwa nn asikutumie sms kwa cm ya mamake kukujulisha mpk upge ww?wamama wengne wanakula dili km kawa ss we ukpgiwa na maza unaona unapendwa!wanakukung'on'ga hao,penye nia pana njia kaka amka ww..huyo mwingne baada ya kusikia unamchumba ndo anakupenda alikuwa wap kukuonyesha hyo mapnz?
 
Huyu mdada hayuko tayari kwasababu dada zetu wanavyopenda wachumba wanaoishi usa kama yuko chuo kila mtu atajua ana mchumba usa na huwa wanaonyesha sms na simu wanazopiga na wanazopigiwa, huyu wako ni tatizo tafuta mbongo hukohuko
 
Huyu mdada hayuko tayari kwasababu dada zetu wanavyopenda wachumba wanaoishi usa kama yuko chuo kila mtu atajua ana mchumba usa na huwa wanaonyesha sms na simu wanazopiga na wanazopigiwa, huyu wako ni tatizo tafuta m bongo hukohuko
 
Huyu mdada hayuko tayari kwasababu dada zetu wanavyopenda wachumba wanaoishi usa kama yuko chuo kila mtu atajua ana mchumba usa na huwa wanaonyesha sms na simu wanazopiga na wanazopigiwa, huyu wako ni tatizo tafuta m bongo hukohuko

Nakushkuru Mkuu kwa ushauri Utafanyiwa kazi, Na nawashkuru pia wote mlonishauri na nitatafakari kwa kina kuona nafanya maamuzi sahihi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom