Optic Density
Member
- Apr 29, 2012
- 28
- 7
[h=3]Wana JF nimekutana na hii kitu kwenye blog ya Dina marious. Huyu jamaa mwenye umri wa miaka 48 anaomba ushauri;[/h]
Anasema tatizo lake kubwa linalomsumbua.Anasema yeye na mkewe wamekuwa pamoja kwa miaka 25 ya ndoa lakini amegundua hajawahi KUMPENDA MKEWE.
Anasema alikutana na mkewe wakiwa shule na wamejaaliwa watoto wawili ambao kwa sasa ni wakubwa kabisa.
walikutana shule na ilibidi kumuoa kwa vile walikaa muda sana kama wapenzi.
Japo wamekuwa pamoja kwa muda mrefu amegundua hakuwa in love nae.Kila akikaa nae na kumuangalia hafeel chochote kabisa.Anajua ni jinsi gani mkewe anampenda na lakini anaona hayupo tayari kuendelea kuishi nae mpaka mwisho wa maisha yake.Mkewe ni mtu poa wala hajawahi kumkosea.Yupo yupo tu pia haelewi kama yupo sahihi.
Haya mwenye ushauri anweza kumsaidia huyu jamaa afanye nini.
Anasema tatizo lake kubwa linalomsumbua.Anasema yeye na mkewe wamekuwa pamoja kwa miaka 25 ya ndoa lakini amegundua hajawahi KUMPENDA MKEWE.
Anasema alikutana na mkewe wakiwa shule na wamejaaliwa watoto wawili ambao kwa sasa ni wakubwa kabisa.
walikutana shule na ilibidi kumuoa kwa vile walikaa muda sana kama wapenzi.
Japo wamekuwa pamoja kwa muda mrefu amegundua hakuwa in love nae.Kila akikaa nae na kumuangalia hafeel chochote kabisa.Anajua ni jinsi gani mkewe anampenda na lakini anaona hayupo tayari kuendelea kuishi nae mpaka mwisho wa maisha yake.Mkewe ni mtu poa wala hajawahi kumkosea.Yupo yupo tu pia haelewi kama yupo sahihi.
Haya mwenye ushauri anweza kumsaidia huyu jamaa afanye nini.