klorokwini JF-Expert Member Dec 2, 2009 8,651 5,139 Mar 4, 2011 #3 karib sana mkuu, huyo hapo juu anaitwa chetuntu. bila ya yeye JF ni useless kabisa, umebahatika sana kukaribishwa na yeye
karib sana mkuu, huyo hapo juu anaitwa chetuntu. bila ya yeye JF ni useless kabisa, umebahatika sana kukaribishwa na yeye
Keren_Happuch JF-Expert Member Jan 14, 2011 1,874 935 Mar 5, 2011 #4 Karibu sana...ukipata malaria unaweza kumwona Krolokwini
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,700 Mar 5, 2011 #5 Karibu sana jamvini, hao hapo juu ni chetuntu, klorokwini na dada yetu Keren, wengine utawafahamu taratibu!
Karibu sana jamvini, hao hapo juu ni chetuntu, klorokwini na dada yetu Keren, wengine utawafahamu taratibu!