Mtized one
Member
- Jul 27, 2011
- 46
- 7
Nipo dilema wadau...nisaidieni mawazo,
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI
Mimi ni sijaoa..umri unanitosha,
ishu ipo hivi nina girl frnd ambaye ananipenda sana coz nimepitia c2atn kibao still akastand na mim..at the same time kuna binti nampenda naye ananipenda sana ambaye nilimpanga akaelewa kuwa nina Gf tukaiba mwisho tukabrek up coz alishindwa kuwa 2nd chance...sasa utofauti wao nikuwa huyo anaenipenda ana akili za maisha while huyu ninayempenda she thnks life z too easy hana mipango...kitabia they both cool. NOW NATAKA NIOPOE KI1 YUPI