Deejay nasmile
JF-Expert Member
- Nov 8, 2011
- 5,759
- 5,289
SINA VIGEZO VINGI SANA ZAIDi tu AWE MZURI WA SURA,UMBO NA TABIA .THEN NICHECK.under 23yrs
Unamtaka ki vp yani? uchichi nae ukampe soda arejee nyumbani unataka kuoa ebu funguka kijana ili kama yupo msije mkakosana manake tangazo lako lina utata...
siku ukihitaj mdada wa uongo,tafadhal tuwasiliane.
Tangaza dau!! Hivi hivi hawaji mkuu!
Sema kiasi gani unaweza kupata! Kuna mmoja hapa hajui mambo ya JF ndiyo namsaidia!!wajitokeze tu kwani nakaribia kupata mkopo pale nmb
awe my girlfriend!!
Sema kiasi gani unaweza kupata! Kuna mmoja hapa hajui mambo ya JF ndiyo namsaidia!!
Nenda pale kona bar wapo wakuzoa na beleshi.
Kuna mtu anakuuliza unafanya kazi gani na una gari? Kama unavyo nijuze muwasiliane.
natafuta girlfriend sio konda