The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,110
- 115,883
Hivi kawa nini kwenye mapenzi
ikitokea umeambiwa au umemwambia mwenzio
niko bize sana.......
Always huwa inaleta ugomvi au kutokuelewana??????????
I mean kama mtu uko bize sana kikweli kweli...
Lugha ipi sahihi????
Mi naona hasa wanawake wanachukia mno na hili???
ikitokea umeambiwa au umemwambia mwenzio
niko bize sana.......
Always huwa inaleta ugomvi au kutokuelewana??????????
I mean kama mtu uko bize sana kikweli kweli...
Lugha ipi sahihi????
Mi naona hasa wanawake wanachukia mno na hili???