H Hkeen Member Aug 17, 2011 95 4 Nov 27, 2011 #1 Nahitaji barka zenu nisonge . . . Mi bado mchanga sana humu ndo naanza crowl kwakusota . . . !
H Hkeen Member Aug 17, 2011 95 4 Feb 2, 2012 Thread starter #13 Vmark. said: Karib nimekuwekea mkeka sebuleni! Click to expand... ha! Ha! Wanikumbusha kwetu mahenge, ngoja nikunje msuli, bakora kwapani, nipate hatasuna! Wapi yule koo mwekundu! Nataka weka ubavu. . . . .hila hili bao lanivuta ngoja nisogeze kete huwenda nyota ya jaah! Mlango wa jirani /elimu wanivuta ngoja nisalimu.
Vmark. said: Karib nimekuwekea mkeka sebuleni! Click to expand... ha! Ha! Wanikumbusha kwetu mahenge, ngoja nikunje msuli, bakora kwapani, nipate hatasuna! Wapi yule koo mwekundu! Nataka weka ubavu. . . . .hila hili bao lanivuta ngoja nisogeze kete huwenda nyota ya jaah! Mlango wa jirani /elimu wanivuta ngoja nisalimu.