Nipeni Ushauri

Qastrap

Member
Nov 24, 2010
17
0
ninapenda kusomea mining engineering...vp soko lake na biashara yenyewe na manufaa kwa upande wa mishahara na mambo yafananayo na hayo...?
 
Its fine but feel that you have limited job opportunities once you're done with studies.
 
Ni nzuri, high pay, changamkia.

Ila usiogope kufa, unaweza kukaa chini ya ardhi kwa miezi 3 kama jamaa wa chile? au jamaa zetu wa New zealand? Je uko tayari kukaa porini kwa muda usiojulikana?

Nakutia moyo, kazi za mining zinalipa sana, na ziko nyingi sana kwa sasa na hazina mipaka ya nchi. Ukipasua book vizuri utafanya kazi hizi dunia nzima. Ila unaweza ukakosa muda wa kukaa na familia yako, uwe tayari kwa hilo.
 
unapochagua kozi especuialy at professional level ni vyema ukaondoa fikra za kuajiliwa instead jaribu kutengeneza mazingira ambapo kozi yako utaitumia ku-generate wealth at your own capacity kama mjasiliamali na haijarishi umesoma kozi gani!
 
Back
Top Bottom