PAS
JF-Expert Member
- May 3, 2010
- 454
- 8
WADAU hali zenu???
nina gf wangu tupo nae zamani, ila apa miezi michache nimekuwa na uhusiano na wengine kwa mda huu, yan ni kweli nawapenda nao wanakubali kuwa nawapenda na wapo tayari kuwaacha wa kwao ili wawe nami, ili wao wanawaswas kama nawadanganya sababu uyu GF wangu nipo nae muda mrefu..
Kiukweli kuna uyu GF mmoja wa nje ana vigezo vyoote abavyo mi navitaka na ninamkubali sana hata katika mambo ya maisha ya baadae yani ni mshauri mzuri.
mwingine yeye ndo mruri balaa ila mjanja japo ana upendo kama wengine ila yeye tukiwa nae kwenye simu wanampigia kila mara kumtongoza japo ana msimamo,ila was wangu ktk 10 wanaomtongoza hivi ata mmoja hatamkubalia???
Uyu GF mwenyewe"mamaa' yeye haeleweki yan anfata tu kila nsemacho wkt inabid awe mshauri pia... yan yupo yupo na ndo ana upendo kuliko woooote.
SASA NAITAJI USHAURI WENU WADAU
nina gf wangu tupo nae zamani, ila apa miezi michache nimekuwa na uhusiano na wengine kwa mda huu, yan ni kweli nawapenda nao wanakubali kuwa nawapenda na wapo tayari kuwaacha wa kwao ili wawe nami, ili wao wanawaswas kama nawadanganya sababu uyu GF wangu nipo nae muda mrefu..
Kiukweli kuna uyu GF mmoja wa nje ana vigezo vyoote abavyo mi navitaka na ninamkubali sana hata katika mambo ya maisha ya baadae yani ni mshauri mzuri.
mwingine yeye ndo mruri balaa ila mjanja japo ana upendo kama wengine ila yeye tukiwa nae kwenye simu wanampigia kila mara kumtongoza japo ana msimamo,ila was wangu ktk 10 wanaomtongoza hivi ata mmoja hatamkubalia???
Uyu GF mwenyewe"mamaa' yeye haeleweki yan anfata tu kila nsemacho wkt inabid awe mshauri pia... yan yupo yupo na ndo ana upendo kuliko woooote.
SASA NAITAJI USHAURI WENU WADAU