Nipeni ujuzi kabla sijaenda kununua video camera ya kisasa

Maarko

JF-Expert Member
Apr 11, 2011
1,189
602
Wadau wa JF naomba mnifahamishe,nataka kununua video camera yenye uwezo na ubora wa hali ya juu na ya kisasa, lakini sifahamu ni aina gani nzuri,anayejua tafadhali anijuze nisije nunua ambayo siyo. Asanteni
 
Wadau wa JF naomba mnifahamishe,nataka kununua video camera yenye uwezo na ubora wa hali ya juu na ya kisasa, lakini sifahamu ni aina gani nzuri,anayejua tafadhali anijuze nisije nunua ambayo siyo. Asanteni

mkuu ulifanikiwa kupata camera
 
Back
Top Bottom