Rejao
JF-Expert Member
- May 4, 2010
- 9,220
- 4,056
OOh....hii itadumu forever as long as JF exist.BUt ni kweli... maaana hii ilikuwa moja ya couple kubwa za JF.... nadhani kwa sasa ya Rejao na Cantalisia itakuwa inashikilia usukani....
OOh....hii itadumu forever as long as JF exist.BUt ni kweli... maaana hii ilikuwa moja ya couple kubwa za JF.... nadhani kwa sasa ya Rejao na Cantalisia itakuwa inashikilia usukani....
Morning my swtyb Darling!!!OOh....hii itadumu forever as long as JF exist.
Well come back Ivuga!!!Ndugu zangu wale wote nilio waachia majukumu nataka ripoti....na zawadi zenu zipo hizi ni baadhi yake..nataka mniambie kina nani walikuwa wanarusha mawe?
View attachment 52377View attachment 52378
Well come back Ivuga!!!
We real missed you!!!
Mie ripoti niliyonayo ni kukutaarifu kuwa wakati haupo nimefunga ndoa na mume wangu mpenz Papa Rejao!!!
Saint Ivuga a.k.a mkulima wa Tangawizi kule mamba miamba naomba uwe na subira wakati wakaguz wanaendlea kuandaa report.
Una kifua?
asante sana mkuu wangu..hawa kiduku gereration tusiwasumbue ndio kizazi kijacho hikiSiasa za Chit-Chat zimenikalia kushoto sana nauadeizi, mhm? Am I too serious?
Enewei, karibu tena Ivuga, niliukosa uwepo wako kwa muda, kuna kiduku generation walichafua sana hali ya hewa wakati Makamu wangu haupo.
Naamini heshima itarudi sasa...
Cheers!
Asante sana Ivuga,haaaaaa...nawaandalia zawadi yenu. nampongeza sana Rejao kwani kalamba dume
Atakuja baadae maana mida hii anajiandaa kula,ndio namtafuta Rejao naona yuko bussy kiaina ....vipi mnatuletea mtoto lini? au hamtaki kuijaza dunia
nyie jamaa mnafanya mazingaumbwe sasa ..huyu mtei kaja hapa kanisalimia tu