Nipeni Pole

Jana nimekutana na demu wangu ambaye nilifanya nae matusi mara moja, mwezi wa saba, mwaka jana
Ni demu mkali mno, ni mhudumu wa hoteli maarufu hapa town.

Kwa sababu nilikua najali maisha yangu, nilitumia kinga,kwani nilijua wahudumu wengi wa mahoteli si waaminifu.
Yeye ndo alinisisitiza nisitumie kinga, kitu ambacho kilinifanya niamini hata kwa wengine huwa anawashauri hivo.
Kwasasa ameolewa na ana mtoto anayenyonya.
Najilaumu kwanini nilivaaga c***om, kwani nilimkuta akinyonyesha, inamaana hana maambukizi ya ngoma.
Actually nisingevaaga ningemfaidi sana yule mtoto.

Hii yako ni zaidi ya kali. Yaani haina mfano, any way pole ndugu.
 
nakupa pole kwa ujinga ambao bado unakufunika!

Kwanza hata lugha hujui eti ...kufanya matusi! unanikumbusha enzi zile nipocheza baba na mama!


Hivi una umri gani haswa kijana?
 
Jana nimekutana na demu wangu ambaye nilifanya nae matusi mara moja, mwezi wa saba, mwaka jana
Ni demu mkali mno, ni mhudumu wa hoteli maarufu hapa town.

Kwa sababu nilikua najali maisha yangu, nilitumia kinga,kwani nilijua wahudumu wengi wa mahoteli si waaminifu.
Yeye ndo alinisisitiza nisitumie kinga, kitu ambacho kilinifanya niamini hata kwa wengine huwa anawashauri hivo.
Kwasasa ameolewa na ana mtoto anayenyonya.
Najilaumu kwanini nilivaaga c***om, kwani nilimkuta akinyonyesha, inamaana hana maambukizi ya ngoma.
Actually nisingevaaga ningemfaidi sana yule mtoto.

I rest my case. Nakushauri umwone Dr Ndossi au Kilonzo ili upate counselling ya nguvu. Advise watakayokupa ni zaidi ya pole....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom