Cantalisia
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 5,222
- 2,925
- Thread starter
- #21
Asante mwaya,yani mm mwenyewe mbona nimebaki na mshangao wamaisha,yani nilikera ile picha inajirudia mawazo kila wakati,sijui hawa watu wanapatwa na nn?Pole mwaya, haya mambo yanakera asikwambie mtu! Mi mwenyewe niliwahi nusurika na hii kitu, tulikuwa tumesimama kwenye daladala na nyuma yangu alikuwepo huyo mbaba alotaka kunifanyia huo ubazazi. Yaani ka bahati ikatokea nikageuka, my dear nilibaki kuduwaa........!!