Nipeni mbinu za kumtoa bosi asiye na elimu aende kucheza taarabu..

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Nov 20, 2010
1,802
282
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....


muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.

nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......

toa maoni ya kujenga sio matusi..
 
Loh!! usije ukaenda tu kwa kalumanzira! Mungu hapendi. Kumbuka malipo ni hapahapa Duniani.
 
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....


muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.

nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......

toa maoni ya kujenga sio matusi..

unatakiwa ku thibitisha kwa utawala kuwa huyo mtu ni mweupe. usithibitishe kwa maneno tu. anza kwa kuingia kwenye system ambayo ipo related na pesa , kwa mfano kama kuna kazi ya kusimamia michango yoyote etc, wewe unajitolea , sasa hapo utakuwa kwenye nafasi ya kuiona accounting system ya hapo ndani na ukapewa nafasi ya kutoa mapendekezo, wewe toa mapendekezo na shiriki kufanya kwa vitendo, wataona uwezo wako. kama matekeo yatakuwa hasi kwa kila ulicho shauri au kutenda watakukabidhi mikoba.


onyo kwa faida yako, hata siku moja usizungumze kwa wenzio juu ya ukilaza wa huyo mhasibu, ili hali wewe ni mhasibu pia, kaa kimyaa, ukifanya hivyo na akihisi unapenda kazi yake anaweza kuanza kukuondoa wewe. pia hata utakapo shauri kwa utawala kuwa makini, usimkosoe huyo mhasibu, wewe zungumzia mapungufu ya mfumo wa uhasibu , ukimnyoshea kidole anaweza kukurushia ngumi eeh
 
Watu wengine Bana ,
wengine hawakusoma lakini wako na uwezo wa kuongoza ndugu yangu .
kumbuka uongozi bora na utendaji si madigirii
kama ingekuwa ni hivyo zimbabwe baraza la mawaziri kjila mmoja wao anazo zisizopunguwa 4
na wanaoishi Uingereza kwa muda mrefu watakwambia John major na Churchil walikuwa waziri mkuu bora zaidi kuliko wote na wote hao walikuwa hao unaowaita vilaza au hebu linganisha uongozi wa kina mzee kawawa na hawa madaktrari wako hapo Dar
Fanya kazi kwa bidii uonekane halafu utuonyeshe unachoweza kukifanya , utapewa mkanda
Na uangalie kijana wasiosoma wana vitu vyao watakutia vishipa vya macho ama kuku anaewika tumboni .
Fuwata lako liache la mwenzako .
 
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....


muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.

nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......

toa maoni ya kujenga sio matusi..

mshauri aende kujiendeleza kimasomo then utakabithiwa ofisi.
 
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....


muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.

nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......

toa maoni ya kujenga sio matusi..

If you are highly educated as you claim and at the same time working for Apple Inc.....Would you have the guts to take down your least educated CEO, Steve Jobs?
 
USIMFANYIE MWENZIO UBAYA WOWOTE MWENZIO KWANI MALIPO YAKE NI HAPA HAPA DUNIANI,ukimfanyia ubaya subiri na wewe utafanyiwa hapa hapa duniani...vumilia mwamini mungu kama ni kupanda utapanda tu..kumbuka degree si kigezo cha uwajibikaji fanya kazi kwa bidii zaidi.
Nina rafiki zangu wana PhD lakini ukiona maamauzi wanayoyafanya utamani huyu jamaa bora anageishia shule ya kawaida..PhD zao haziwasaidii badala yake wanaharibu tu..
 
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....
muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.
nipeni mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......
toa maoni ya kujenga sio matusi..

Mkuu kwa vile wewe una kadegree ndio unamwona hafai? Heshimu seniority kazini hata kama kaishia form four. Kinachomatter ni experience zaidi. Kwani yeye na wewe mmefanya kazi hapo kwa muda gani? Pia fikiria mbali zaidi. Mfano kama ana familia ukishamtoa, utalisha familia yake? Kama ungekuwa mtu wa maendeleo ungemshauri afanye mpango aongeze elimu yake sio kumtoa kwa mbinu.Kama unaona kufundisha haina dili then tafuta kazi sehemu nyingine. Acha kabisa uroho wa madaraka. Utakuponza.
 
Umenikumbusha Mwl Nyerere alisema ukila nyama ya mtu utaendelea tu kuila. Na wewe ukimtoa huyo mhasibu, baadae utaona Mkuu wa Chuo nae ni mweupe, utataka nae umtoe, uchukue nafasi yake. Tafuta namna ya kumsaidia mhasibu, ama kwa kumfundisha au umshauri akasome. Utaona Mungu atakavyokubariki. Utapata nafasi nzuri, pengine kuliko hiyo ya hapo chuoni. Ubarikiwe!
 
We una degree na unauwezo wa kupata experience kidogo hapo na baadae uende kupata kazi zingine nzuri tu. Ila huyo boss wako hana masomo na akitoka hapo hawezi tena kupata kazi kama hiyo, msaidie sana umwachie kazi yake. Kumbuka ukitoa ushirikiano mzuri anaweza kukupa siri yake, how he came to be in that position na wewe ukachanga siri hiyo na elimu yako ukapata even a better one...
Nakushahuri sana umwache mwenzio afanye kazi kwa amani. Kumbuka, what goes around...
 
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....


muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.

nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......

toa maoni ya kujenga sio matusi..

je analipwa pesa zaidi yako?

malaki au mamilionni maana nataka niapte picha haswa nini kimekufanya uulize uombe msaada then nitaweza kukueleza
 
je analipwa pesa zaidi yako?

malaki au mamilionni maana nataka niapte picha haswa nini kimekufanya uulize uombe msaada then nitaweza kukueleza

mmmmh, mshahara wake kidogo saana roughly haizidi 150,000/=, tena ni babu 49 years......

najua hii kazi kanunua........

tena yuko na boharia wake, ngazi ya elimu anajaza NBMM ......yaan ni madudu, huu ni ufisadi wa elimu......
 
We una degree na unauwezo wa kupata experience kidogo hapo na baadae uende kupata kazi zingine nzuri tu. Ila huyo boss wako hana masomo na akitoka hapo hawezi tena kupata kazi kama hiyo, msaidie sana umwachie kazi yake. Kumbuka ukitoa ushirikiano mzuri anaweza kukupa siri yake, how he came to be in that position na wewe ukachanga siri hiyo na elimu yako ukapata even a better one...
Nakushahuri sana umwache mwenzio afanye kazi kwa amani. Kumbuka, what goes around...

LAKINI JE HAUJUWI KUWA CHANZO CHA UMASKINI TANZANIA NI HIKI PIA? SERIKALI KUKUMBATIA WAFANYAKAZI WAUPE KICHWANIIIIIIIII????????

NAJUA ukimwambia aandae income statement, hajuwi!!!!!!!!
 
Mkuu kwa vile wewe una kadegree ndio unamwona hafai? Heshimu seniority kazini hata kama kaishia form four. Kinachomatter ni experience zaidi. Kwani yeye na wewe mmefanya kazi hapo kwa muda gani? Pia fikiria mbali zaidi. Mfano kama ana familia ukishamtoa, utalisha familia yake? Kama ungekuwa mtu wa maendeleo ungemshauri afanye mpango aongeze elimu yake sio kumtoa kwa mbinu.Kama unaona kufundisha haina dili then tafuta kazi sehemu nyingine. Acha kabisa uroho wa madaraka. Utakuponza.

kuuiita digrii yangu '"kagree"' ni dharau......... UGUMU, MACHOZ NA TABU NILIZOPATA NAJUA MIMI.........

TUHESHIMU ELIMU MKUUUUU
 
Watu wengine Bana ,
wengine hawakusoma lakini wako na uwezo wa kuongoza ndugu yangu .
kumbuka uongozi bora na utendaji si madigirii
kama ingekuwa ni hivyo zimbabwe baraza la mawaziri kjila mmoja wao anazo zisizopunguwa 4
na wanaoishi Uingereza kwa muda mrefu watakwambia John major na Churchil walikuwa waziri mkuu bora zaidi kuliko wote na wote hao walikuwa hao unaowaita vilaza au hebu linganisha uongozi wa kina mzee kawawa na hawa madaktrari wako hapo Dar
Fanya kazi kwa bidii uonekane halafu utuonyeshe unachoweza kukifanya , utapewa mkanda
Na uangalie kijana wasiosoma wana vitu vyao watakutia vishipa vya macho ama kuku anaewika tumboni .
Fuwata lako liache la mwenzako .

hapa cikubaliani na wew!!!! politics cio proffesion.........

unataka kuniambia unaweza kumchukua Churchil aende akafanye kaz hospital as doctor?????

awe yule mbunge wenu wa std 4 awe mwanasheria, hakimu mahakamani???

THINK BIG SIR!""!
 
Umenikumbusha Mwl Nyerere alisema ukila nyama ya mtu utaendelea tu kuila. Na wewe ukimtoa huyo mhasibu, baadae utaona Mkuu wa Chuo nae ni mweupe, utataka nae umtoe, uchukue nafasi yake. Tafuta namna ya kumsaidia mhasibu, ama kwa kumfundisha au umshauri akasome. Utaona Mungu atakavyokubariki. Utapata nafasi nzuri, pengine kuliko hiyo ya hapo chuoni. Ubarikiwe!

haaaa hsss..... dont mention that man to me...... nyerere ameleta umaskini tz..... kafaulu kwa kuleta kiswahili......
 
Back
Top Bottom