Pasco_jr_ngumi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2010
- 1,802
- 282
habari wakuu,
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....
muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.
nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......
toa maoni ya kujenga sio matusi..
nafanya kazi chuo cha ualimu. hapa nna dip. ya education na digrii ya accounting and finance.......... nafanya kaxi za kufndisha tu.....
muhasibu wa hapa hana elimu kabsaaaaaa, form four, mweupeeee!!!!!! nahsi aliajiriwa kama mfagizi.
nipen mbinu za kumtoa, nichukue nafas.......
toa maoni ya kujenga sio matusi..