We Know Next
JF-Expert Member
- Sep 9, 2010
- 814
- 380
Wana jamii naomba mnipe majibu kwa haya yafuatayo baada ya paragraph ifuatayo:
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana kwa muda mrefu sasa utendaji wa kazi wa vyombo vya usalama vya nchi hii, na hasa Jeshi la Polisi, ambalo ndilo lipo karibu au ndilo lenye dhamana ya ulinzi wa raia na mali zao. Naomba majibu kwa yafuatayo,
1. Hivi watu walioajiliwa ktk kazi ya upolisi si watanzani na hawana ndugu zao hapa Tanzania?
2. Hivi kazi ya Polisi ni kazi ambayo huhitaji kutumia akili zako kama binadamu halisi bali kufuata amri tu?
3. Ni Saikolojia gani inayofundishwa ktk kazi ya upolisi, ambayo inakufanya ukiwa polisi, uwakane ndugu na jamaa zako na kufanya mambo kama huna akili kabisa?
4. Hivi ni kweli ukiwa polisi mnatakiwa kumsikiliza mtu mmoja tu kati ya watu millioni 46? Kwa mfano mtu huyo mtu mmoja akiwaagiza polisi anzeni kuua watu, polisi inabidi wafanye hivyo bila kuchukua tahadhari?
5. Ikiwa kama huyo mtu wanayepokea maagizo yake ameaanza kupata Kichaa na kupoteza fahamu na kutoa amri za maangamizi, polisi watafuata tu, au wanahitaji kuchunguza kwanza?
6. Naomba mnijuze, kwani hayo niliyoyaeleza hapo juu, ndiyo yanafanywa na polisi wa Tanzania.
Nimekuwa nikifuatilia kwa karibu sana kwa muda mrefu sasa utendaji wa kazi wa vyombo vya usalama vya nchi hii, na hasa Jeshi la Polisi, ambalo ndilo lipo karibu au ndilo lenye dhamana ya ulinzi wa raia na mali zao. Naomba majibu kwa yafuatayo,
1. Hivi watu walioajiliwa ktk kazi ya upolisi si watanzani na hawana ndugu zao hapa Tanzania?
2. Hivi kazi ya Polisi ni kazi ambayo huhitaji kutumia akili zako kama binadamu halisi bali kufuata amri tu?
3. Ni Saikolojia gani inayofundishwa ktk kazi ya upolisi, ambayo inakufanya ukiwa polisi, uwakane ndugu na jamaa zako na kufanya mambo kama huna akili kabisa?
4. Hivi ni kweli ukiwa polisi mnatakiwa kumsikiliza mtu mmoja tu kati ya watu millioni 46? Kwa mfano mtu huyo mtu mmoja akiwaagiza polisi anzeni kuua watu, polisi inabidi wafanye hivyo bila kuchukua tahadhari?
5. Ikiwa kama huyo mtu wanayepokea maagizo yake ameaanza kupata Kichaa na kupoteza fahamu na kutoa amri za maangamizi, polisi watafuata tu, au wanahitaji kuchunguza kwanza?
6. Naomba mnijuze, kwani hayo niliyoyaeleza hapo juu, ndiyo yanafanywa na polisi wa Tanzania.