Inatemea mi jiko la aina gani.
Kama ni jiko la mkaa, basi kapata mkaa,
kama ni la mchina kapata mafuta ya taa,
kama ni la umeme kapata Energy,
la gas= gas
la biogas=vinyesi
nk.
Umeridhika?
Imezoeleka mwanaume akipata mchumba na mambo yakamwendea vyema wakaoana imezoeleka kuwa KAPATA JIKO. Je, mwanamke yeye itakuwa kapata nini?
Imezoeleka mwanaume akipata mchumba na mambo yakamwendea vyema wakaoana imezoeleka kuwa KAPATA JIKO. Je, mwanamke yeye itakuwa kapata nini?