Wana jf nipeni hongera leo
nimepata mtoto wa kiume ktk hospitali ya muhimbili. he is such a
darling boy. But u cant believe what i have been through. jamani
niliumwa mpaka nikajuta. but now am happy.
Hongera sana dada,
si umeona mtoto anavyouma eeh.
Anaumaje? Unaweza kunywa bahari.
Wahaya wanasema hakuna miba, utarudi tu baada ya 40anauma mwali. unaweza ukakataa mtu asikuguse miaka yote iliyobaki.
nilikwwenda ka first truck but sijachelewa nilienda asbh nikiwa serious nikajifungua mchana huu.