DAWA YA SIKIO
JF-Expert Member
- Dec 8, 2011
- 979
- 180
Masai akiwa kwenye duka moja la vifaa mchanganyiko.
MASAI : Nipe ile iko nakulana na mwensie !
MUUZAJI : Nini shoka ?
MASAI : Hapana shoka [choka],iko natoka hapo karibu tu !
MUUZAJI : Nini tupa ?!
MASAI : Hapana tupa yeloo ! Nipe mimi !
MUUZAJI : Panga ?!
MASAI : Hapana panga ,furugafuruga mpaka napata ile inakulana na mwensie ifi ifi ifi [akionyesha ishara kama ananoa kitu].
Hapa muuzaji,akachoka na kumrundikia vitu kibao mezani achague ! Maasai kwa hasira akaokota tupa na kumgonga nayo muuzaji kichwani.
MASAI : Nasumbua mimi mida mingi kumbe iko yeye inakulana na mwensie ! Acha chesea mimi we swahili !!!
MASAI : Nipe ile iko nakulana na mwensie !
MUUZAJI : Nini shoka ?
MASAI : Hapana shoka [choka],iko natoka hapo karibu tu !
MUUZAJI : Nini tupa ?!
MASAI : Hapana tupa yeloo ! Nipe mimi !
MUUZAJI : Panga ?!
MASAI : Hapana panga ,furugafuruga mpaka napata ile inakulana na mwensie ifi ifi ifi [akionyesha ishara kama ananoa kitu].
Hapa muuzaji,akachoka na kumrundikia vitu kibao mezani achague ! Maasai kwa hasira akaokota tupa na kumgonga nayo muuzaji kichwani.
MASAI : Nasumbua mimi mida mingi kumbe iko yeye inakulana na mwensie ! Acha chesea mimi we swahili !!!