PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,723
Kuna hii Biashara ya Fedha imezuka kwa kasi sana katika baadhi ya maeneo ya Arusha. Ukifika kituo cha basi kinaitwa Kwa Dr Mohamed, opposite na Summit Centre unakutana na Vijana wanapanga hela (coins) barabarani na kuziuza, ambapo ukitoa 1,000/= unapewa 800/=. Kutokana na shida ya chenji, makondakta wanaingia mkenge huu na kuzinunua!
Napenda kufahamu, je hii biashara ni halali?
Pia je kuna athari zozote za kiuchumi kwenye mzunguko wa fedha kutokana na biashara ya namna hii?
Napenda kufahamu, je hii biashara ni halali?
Pia je kuna athari zozote za kiuchumi kwenye mzunguko wa fedha kutokana na biashara ya namna hii?