Nionavyo Udhaifu wa Operesheni Sangara

Waberoya said:
Mushi nina mwasali mawili, unasema sheria kipindi hico za kuwabana zilikuwepo, leo hakuna sheria ya kuwabana wezi? na je kuna mtu anaeza akanipa rekodi viongozi wala rushwa kipindi cha JKN wangapi walienda jela? wangapi walirudisha mali? na waliofilishi mashirika walichukuliw hatua gani zaidi ya kuhamishiwa kwingineko?

Hiyo rekodi siwezi kukupa,ila tukirudi kwenye suala la msingi hapa unaonekana kukubaliana na mimi kuwa ni uongozi mbovu na wakati huo huo kudai kwamba system ndiyo mbovu,naomba tuelewena kwanza kabla ya kujaza postings hapa....Mimi nasema tunahitaji uongozi makini kwanza,na wewe unasema tunahitaji katiba mpya kwanza,sasa katiba mpya itatoka kwa viongozi hao hao unaodai tusiwabadilishe kwanza?Tafadhali lenga kwenye points ili tusipotezeane muda.

2. Kama umekubali kuwa tunatakiwa kuanza na Katiba, yet hawaifanyii kazi huoni kuwa una-confirm kuwa hawa viongozi unaotaka wachukue nafasi za CCM ndiyo wao wabovu ? they dont know which is the right thing to do?
Mkuu huwa unachagua tu ni kipi cha kusoma kwenye posting unazojibu?hilo lita icost disscussion yetu,certainly in terms of understanding exactly the basics of our argument...Kifupi hakuna pahala nimekubali kuwa tunatakiwa kuanza na katiba persee!soma vyema posting mkuu,nikasema wazi kwamba kama ilivyokuwa kwenye posting ya kumjibu Rev. that the only way we can compromise on this one ni if tutakubalia kuwa they should go hand to hand,ila preferbly uongozi mpya kwanza,then katiba mpya,viongozi wale wale na katiba mpya ni sawa na kuomba mchango wa damu kutoka kwa marehemu!Pia sikuelewe unapodai eti nime confirm kuwa hao viongozi ninaotaka wachukue nafasi za ccm ndiyo wabovu,i have failed to understand the overall objective of your statement.

Au unafikiri kwa hali hii ya OS na ni kwa namna gani, lini, tunaweza kusema tunaiondoa CCM serikalini? Ikiwa hatuna vision ya kuwa na techniques ya kuiondoa CCM kwa mipango na malengo bila kujali bahati huoni hao ndio viongozi wanaotakiwa?

Angalia hii satement yako hapo juu inavyokinzana na hizo za awali,na pia nimeshindwa kabisa kuelewa una maanisha nini kwenye highlights,sasa unasema nime confirm kuwa hao viogozi watakao wareplace mafisadi nao ni wabovu,halafu hapo hapo unauliza namna ya kuiondoa ccm madarakani,sasa unataka nijibu nini hapo?

Je unaweza kuniaminisha vipi kuwa Chadema au NCCR etc wakiingia madarakani hatawakula rushwa? na je wakila rushwa our solution at that time itakuwa nini, KUJARIBISHA CUF? Hw3a akina Slaa wenyewe wameshaprove failure ndani ya chama chao, japo hili huwa hamtaki kusikia, kama kuna mtu mmoja anawa challenge ndani ya chama, leo hii mkishika taifa si hatari! we need systems ya kuweza kuangaliana wakati watu wanafanya kazi na maamuzi na system hiyo ni serikali ya mseto! sisi ni wezi kuanzia ngazi ya masecretary na mamesenja-tusijifanye hatujui haya mambo, ufusadi nchi hii hauanziaa CCM! WE ARE LIVING in a criminalised society, na mafisadi walioko ngazi za juu ndiyo wanaowalea wa ngazi za chini, yet tunataka tuwahubirie OS wale wa ngazi ya chini na kati!!??? wa ngazi ya kati wengi hawana mpango hata na siasa wana kula na kunywa! wenyeviti wa vijiji wengi nchi hii wanaingia na nyumba za nyasi kwenye mauongozi yao na kutoka na nyumba za mabati na matofali makali!


Mkuu nimeshasema hapo awali,pitia posti yangu ya nyuma utaona,kuuliza maswali kama hayo ambayo kama umepitia kwa makini posting yangu iliyopita nimeiweka wazi pointi hiyo,nani mwenye kuweza ku guarentee kwamba kiongozi akiingia madarakani atafanya exactly this ama that?

Lazima kuna general direction ambayo a nation must take! and only until then tutatambua ni kiongozi gani tunamuhitaji,kwamba atayafanya hayo hakuna anayejua kwa hakika,na ndio maana nilisema watapimwa kwa matendo yao,na jibu langu kuhusiana na solution kama viongozi tutakaowachagua hawatafanya waliyoyaahidi ni kubadilisha na kujaribu wengine wenye kuonyesha matumaini,yes change ndiyo solution......Kwani hao wengine si watanzania wenzetu? Nani kasema nchi ya kifalme hii?Mnascrutinize as if what we have is the best?!I will replace what we have probably with almost anything leme be honest with you bro! I am tired!Tuko in a wrong direction kwa ujumla na kwahivyo siamini kwamba the leaders we have are the best we can get!

Mentality kwamba tulicha nacho ama viongozi tulio nao ndio nafuu ni backwards na hiyo ndiyo imetukwamisha,we never dare to change no wonder you branded you selves......."ndivyo mlivyo!?"

Inaonekana sababu zilizowafanya wengi wetu waikimbie nchi either ziko pale pale ama zimekuwa worse!
 
1. Mushi nina mwasali mawili, unasema sheria kipindi hico za kuwabana zilikuwepo, leo hakuna sheria ya kuwabana wezi? na je kuna mtu anaeza akanipa rekodi viongozi wala rushwa kipindi cha JKN wangapi walienda jela? wangapi walirudisha mali? na waliofilishi mashirika walichukuliw hatua gani zaidi ya kuhamishiwa kwingineko?

2. Kama umekubali kuwa tunatakiwa kuanza na Katiba, yet hawaifanyii kazi huoni kuwa una-confirm kuwa hawa viongozi unaotaka wachukue nafasi za CCM ndiyo wao wabovu ? they dont know which is the right thing to do?

Au unafikiri kwa hali hii ya OS na ni kwa namna gani, lini, tunaweza kusema tunaiondoa CCM serikalini? Ikiwa hatuna vision ya kuwa na techniques ya kuiondoa CCM kwa mipango na malengo bila kujali bahati huoni hao ndio viongozi wanaotakiwa?

Je unaweza kuniaminisha vipi kuwa Chadema au NCCR etc wakiingia madarakani hatawakula rushwa? na je wakila rushwa our solution at that time itakuwa nini, KUJARIBISHA CUF? Hw3a akina Slaa wenyewe wameshaprove failure ndani ya chama chao, japo hili huwa hamtaki kusikia, kama kuna mtu mmoja anawa challenge ndani ya chama, leo hii mkishika taifa si hatari! we need systems ya kuweza kuangaliana wakati watu wanafanya kazi na maamuzi na system hiyo ni serikali ya mseto! sisi ni wezi kuanzia ngazi ya masecretary na mamesenja-tusijifanye hatujui haya mambo, ufusadi nchi hii hauanziaa CCM! WE ARE LIVING in a criminalised society, na mafisadi walioko ngazi za juu ndiyo wanaowalea wa ngazi za chini, yet tunataka tuwahubirie OS wale wa ngazi ya chini na kati!!??? wa ngazi ya kati wengi hawana mpango hata na siasa wana kula na kunywa! wenyeviti wa vijiji wengi nchi hii wanaingia na nyumba za nyasi kwenye mauongozi yao na kutoka na nyumba za mabati na matofali makali!

Leo hii kupiga kelele RA atoke, wakati kuna raia 10,000 ambao wanategemea kula na kunywa kupitia uwepo wa Rostam are we not fooling ourselves?

WHY dont we motivate or encourage these parties first to make sure our katiba is accomodating all! tukimaliza hapo tuanze hizi OS? au OS unaona kabisa ni kazi ya chadema? Hivi hatujajifunza hii miaka minne?

Watanzania hawa wanahitaji actions, siyo maneno! I joked with someone kuwa leo hii katka mapambano ya ya kudai katiba, ikatokea Slaa analala Segerea , then same Tanzania mnaowaona wajinga, hawajui mambo, mbumbumbu, wasioju akinachoendelea watageuka na kuwa upande wa Slaa, regardless ni CCM (siri kubwa hii).

watanzania hawa sio kama JK nasema wanafuata mkumbo, nataka kusema hakuna jamii inayomsifia mtu hapo hapo kwa kazi nzuri na kuwaponda kimya kimya kwa kazi mbaya! watanzania hawa wanahitaji spark of fire,(Initiator) ka-kitu kadogo tu kuwasha moto wa revolution, na hii ni lazima strong leader awepo wa kuitekeleza ndoto hii, maneno hayana nafasi!

Nikirudi kwenye joke yangu, Slaa akilala segerea siku 2(mfano) huna haja ya OS, huna haja ya kukodi helkopta, huna haja ya kumaliza hela nyingi kwenye kampeni, AUTOMATICALLY JAMII YA TANZANIA inakuwa tuned kwa slaa! These are Tanzanians!!!

Sasa kama tunafanya mambo hali tukijua siyo sahihi kwa wakati huu, ila siku ziende na wananchi wajue tupo, tunamdanganya nani?

Do you want a real uchaguzi? ni ule ambao haujui rais atakuwa nani? any one can be a president, tukifika hapo ndiyo tutakuwa tuko kwenye uchaguzi halisi, na hili tufike watu waivae serikali kutaka serikali ya mseto , hatujachelewa !

Umeongea vizuri sana mkuu,
Nikikumbuka suspend ya Zitto bungeni ,wananchi wakampa heshima ya warrior, sasa mtu akilala segerea mapinduzi ya kweli yatatokea siku hiyo hiyo.

Unajuwa sisi tunaotoka kijijini tunajuwa vizuri sana jinsi wanakijiji wanavyo analysis , wale wanajuwa vizuri sana saisa na nini wanakitaka, wapinzani kubwaga sio elimu ya uraia wanaikosa, elimu ile wanayo tena nzuri sana na wanaitumia elimu hiyo kuwa-mwaga wapinzani.

Japo wapinzania wanajidai eti wanawapelekea elimu ya uraia sijui OS, wale wanavijiji wanawasikilizia tu.

Angalia tu kule vijijini wanakosemwa hawana elimu ya uraia , ndo hao hao walikwisha jaribu wapinzani kadhaa bungeni na mwisho wa mwisho wanakijiji wanasalimu amri na kurudi ktk zimwi lao walijualo.

Mie naona kuna uwezekano mkubwa sana wanaosema wananchi hawana elimu ya uraia ndo hao hao wahubiri hawana elimu hiyo.
 
Mataifa yote yaliondolewa katika mess na watu si MFUMO. Mfumo ni kitu kinachowekwa na watu kuendeleza yale wanayoyaamini. Mfumo siku zote hakiwezi kuwa kitu cha kwanza. Tatizo la nchi yetu si mfumo ni WATU. Ni lazima tuhakikishe tunapata watu wanaofaa. Hao ndo watajenga mfumo bora.

Kwa hiyo hata huko CCM akipatikana mtu bora anaweza akasawazisha yote na mambo yakawa mswano mara moja. Tatizo huyo mtu atapatikana wapi na lini? Ukiangalia huko na kule haielekei kuwa mtu huyo yuko karibu kuonekana! Lakini historia inaonesha kuwa yuko miongoni mwetu. Hatuwezi kumtambua kwa kuwa wote tuko tainted!
 
Mataifa yote yaliondolewa katika mess na watu si MFUMO. Mfumo ni kitu kinachowekwa na watu kuendeleza yale wanayoyaamini. Mfumo siku zote hakiwezi kuwa kitu cha kwanza. Tatizo la nchi yetu si mfumo ni WATU. Ni lazima tuhakikishe tunapata watu wanaofaa. Hao ndo watajenga mfumo bora. Kwa hiyo hata huko CCM akipatikana mtu bora anaweza akasawazisha yote na mambo yakawa mswano mara moja. Tatizo huyo mtu atapatikana wapi na lini? Ukiangalia huko na kule haielekei kuwa mtu huyo yuko karibu kuonekana! Lakini historia inaonesha kuwa yuko miongoni mwetu. Hatuwezi kumtambua kwa kuwa wote tuko tainted!
Mkuu nakubaliana nawe sana...Na binafsi sioni kosa kabisa la Operation Sangara ikiwa Azma ya chama Chadema ni kuiondoa CCM..Nina hakika kabisa maswali yote ya mheshimiwa Rev. Kishoka hayakuwezekana kwa sababu ya UFISADI uliopo laa sivyo yote yangeweza patikana..Kikwazo kikubwa cha chama CCM kuweza kufikisha maendeleo kwa wananchi ni Ufisadi hakuna jingine hivyo orodha yote ya Rev ingewezekana kabisa ikiwa pasingekuwepo na Ufisadi..Mkapa tu angeweza kupeleka pazuri pasipo Ufisadi lakini madhara yake tumeyaona na ndio maana hapendeki.

Leo hii tumepoteza hata maana ya Mbunge. ati wao ndio wanaondoa matatizo ya wananchi. Mbunge atajenga shule kwa fedha zake atajenga zahanati na huyo ndiye hupoewa sifa ya Ubunge.. Na amini maneno yangu hakuna mbunge yeyote ataweza jenga hivyo vyote ikiwa hakuna malengo ya kupewa Ubunge.. Hii ina maana fadhila yote anaifanya sii kwa hiyari bali kwa makusudio ya kupewa Ubunge, penye Ulaji na sii uwakilishi wa wananchi bungeni. Akipewa Ubunge kazi ya kwanza ni kurudisha fedha zote alizo invest hivyo kuufanya Ubunge kuwa ni investment na sii Uwakilishi wa wananchi.
 
All in all naamini Operesheni Sangara ina Mafanikio na Mapangufu. Sasa ni jambo kuangalia ni wapi kuna Mapungufu na kuwashauri nini wafanye ili kuboresha. Je Katika Operesheni Sangara wanahamasisha vipi watu kujiandikisha kupiga kura? Je katika watu wanaokuja kwenye mikutano can they estimate ni wangapi wamejiandikisha na wangapi watapiga Kura. Ingefaa wawaambie wananchi kuhudhuria kwenye mkutano pasi na kuwa umejiandikisha ni Kazi Bure

Ndege Uchumi,

Umeuliza swali moja la msingi, ni Watanzania wangapi waliosikia Injili ya OS wamekata shauri na kujiandikisha kupiga kura?

Mimi nitakwenda hatua kadhaa zaidi baada ya maswali yako.

Je kama walijiandikisha, walimpigia nani kura Uchaguzi wa TAMISEMI 2009?

Je CHADEMA wamesharudi kwenye majimbo yote waliyohubiri OS na kupima ni jinsi gani Wananchi wa maeneo hayo walivyopiga kura kwenye TAMISEMI 2009?

Kama OS ilikuwa na mafanikio na kupokelewa na wananchi, je wananchi walimpa nani kura TAMISEMI 2009, je walimpa mgombea wa CCM au mtu wa Upinzani bila kujali yeye ni CHADEMA au CUF?

Sasa hili ni langu la nyongeza, je OS inawaambia wananchi wasiichague CCM na waichague CHADEMA pekee au wanawaambia wananchi chagueni yeyote yule lakin si CCM?
 
Jamani eeeeh mmeisha pigwa changa la macho... kujiandikisha kupiga kura hakuna mfumo wowote imara.. mtu mmoja anaweza jiandikisha kata kumi akitaka na kwa vile hakuna nukuu ktk komputa sidhani kama majina hayo hayawezi tumika ktk vituo vingine kuipa ushindi CCM... Yaani hilo daftari ni wizi mtupu wa haki msingi ya wananchi..Vyama vya Upinzani pitieni daftari hilo mtashtushwa na mengi yaliyomo!
 
Sisi wote ni mashahidi wazuri juu ya operation Sangara na pia imefanya vizuri sana katika mambo mengi hata kuwaweka watu wote katika hisia na hatua nzuri kila na baada ya uchaguzi

Josh,

Hakuna aliyesema OS si nzuri au haijaweka mambo vizuri. Ninachokizungumzia ni kupima matokeo ya OS na kuangalia ni mbinu gani walizotumia na kwa nini hakuonekani kama Watanzania kweli wamesikia na kuelewa OS.

Mkandara kaongea vizuri sana, tena kanisaidia vizuri sana. Maswali yangu yanalenga kwa upinzani kurudi kwa wananchi hawa waliojijenga kuwa waumini wa CCM tangu enzi za TANU mpaka leo hii.

Swali ni vitendea gani utaweza kutumia kuwaonyesha wananchi kuwa bado hatujapata maendeleo ya kweli kutoka kwa CCM na kuwa dira ya maendeleo imefanywa si ya Taifa bali ni ya wachache walio tabaka la juu la kiuongozi la CCM na marafiki zao ambao ama ni makuwadi au ndio mabwana kubwa?

Leo ukiwauliza wananchi maswali niliyouliza, wanaweza kukupa majibu kuwa hawajui, au Serikali haina fedha, au watadai hatujapata misaada.

Lakini kati yao hakuna atakayekuwa tayari kusema ni udhaifu wa Uongozi na ukosefu wa ufanisi unaoandamana na hujuma.

Pamoja na kuwa kila mtu anaona kuwa suala ni Ufisadi, ni lazima sasa tutafute maana ya Ufisadi na kuwaambia wananchi tuna maana gani tunaposema Ufisadi.

Wengi wetu tumetoa tafsiri ya Ufisadi kwa kuangalia suala la EPA, Richmond, Buzwagi, IPTL, Rada, TRL, ATC na mengine yanayofanywa na wakubwa wa mashirika ambayo wala hayako vijijini, hivyo tunapokwenda hubiri Rostam ni mhujumu, mtu wa Marangu au Kilwa Masoko kwanza hajui Rostam ni nani wala EPA ni nini!

Lakini ukimwambia kuwa bajeti ya Wilaya ilikuwa shilingi kadhaa na ilikuwa itumike kwa shughuli kadhaa, lakini uongozi wa wilaya au mbunge wameshindwa kutumia hizo fedha au kutimiliza ahadi vizuri na kuzitumia kwa mambo mengine kadhaa ambayo si ya manufaa kwa mwananchi huyo na kwamba tatizo si fedha bali ni yule aliyepewa dhamana ya kusimamia fedha hizo, ndipo mwananchi atakuelewa.

Ukiyapima vizuri maswali yangu, yamelenga sana ni jinsi gani Mbunge anavyofanya kazi kuhakikisha kuwa Serikali Kuu na TAMISEMI, zinatimiza wajibu wao kila siku kwa wananchi. Sasa kama Mbunge hafanyi kazi yake ipaswavyo na ana uoga kwenda kudai na kutetea haki za watu wa jimbo lake, kwa nini basi aendelee kupigiwa kura kwa kuwa anaahidi atajaribu kufanya kazi mwakani akishachaguliwa tena?

Ikiwa Mbunge huyu, haoni umuhimu wa kuwa cheche ya fikra na mwamko wa uzalishaji mali hata kupata support ya wananchi wake kuwa ni kweli anachapa kazi na ana nia ya kuleta maendeleo haya wilayani, kwa nini aendelee kuaminiwa na kulipwa kwa kodi za hao wananchi?

Ikiwa mbunge huyu anashindwa kutumia juhudi na maarifa katika kuleta mabadiliko ya kuboresha maisha ya watu wa jimbo lake, kwa nini aendelee kupigiwa kura?

Sasa maswali hayo 22 na mengine mengi ni kuipa CHADEMA mtazamo mwingine wa OS na ni jinsi gani wakitumia mbinu mbali mbali wanaweza kuwafikia wananchi na matunda yakaonekana kwenye kupiga kura.

Nafikiri wengi wenu mmesahau ile ripoti ya Kamati y CCM kwenye uchaguzi mdogo Busanda ilitaja vitu gani ambavyo CCM ilikuwa ikiviangalia kama dira ya kujisahihisha. Ripoti ile haikutaja hata kitu kimoja kuhusu vyama vya upinzani bali ilipima ni vipi kero za wananchi zimepatiwa ufumbuzi na hatua gani zichukuliwe kwa watendaji walioshindwa kurekebisha kasoro zinazoleta kero.

Sehemu kubwa ya maswali yangu, ni kero za wananchi, ambazo CCM inaziangalia na kutafuta viraka kuviziba. CHADEMA na upinzani vinapaswa kupasua huo ufa wa CCM na kuwaambia wananchi kuwa kero zao zitaisha kwa kumchagua mtu ambaye si CCM na kuwakumbusha wananchi kuwa kero ni hizi, pesa ni hizi na tatizo ni uongozi.
 
Josh,

Hakuna aliyesema OS si nzuri au haijaweka mambo vizuri. Ninachokizungumzia ni kupima matokeo ya OS na kuangalia ni mbinu gani walizotumia na kwa nini hakuonekani kama Watanzania kweli wamesikia na kuelewa OS.

Mkandara kaongea vizuri sana, tena kanisaidia vizuri sana. Maswali yangu yanalenga kwa upinzani kurudi kwa wananchi hawa waliojijenga kuwa waumini wa CCM tangu enzi za TANU mpaka leo hii.

Swali ni vitendea gani utaweza kutumia kuwaonyesha wananchi kuwa bado hatujapata maendeleo ya kweli kutoka kwa CCM na kuwa dira ya maendeleo imefanywa si ya Taifa bali ni ya wachache walio tabaka la juu la kiuongozi la CCM na marafiki zao ambao ama ni makuwadi au ndio mabwana kubwa?

Leo ukiwauliza wananchi maswali niliyouliza, wanaweza kukupa majibu kuwa hawajui, au Serikali haina fedha, au watadai hatujapata misaada.

Lakini kati yao hakuna atakayekuwa tayari kusema ni udhaifu wa Uongozi na ukosefu wa ufanisi unaoandamana na hujuma.

Pamoja na kuwa kila mtu anaona kuwa suala ni Ufisadi, ni lazima sasa tutafute maana ya Ufisadi na kuwaambia wananchi tuna maana gani tunaposema Ufisadi.

Wengi wetu tumetoa tafsiri ya Ufisadi kwa kuangalia suala la EPA, Richmond, Buzwagi, IPTL, Rada, TRL, ATC na mengine yanayofanywa na wakubwa wa mashirika ambayo wala hayako vijijini, hivyo tunapokwenda hubiri Rostam ni mhujumu, mtu wa Marangu au Kilwa Masoko kwanza hajui Rostam ni nani wala EPA ni nini!

Lakini ukimwambia kuwa bajeti ya Wilaya ilikuwa shilingi kadhaa na ilikuwa itumike kwa shughuli kadhaa, lakini uongozi wa wilaya au mbunge wameshindwa kutumia hizo fedha au kutimiliza ahadi vizuri na kuzitumia kwa mambo mengine kadhaa ambayo si ya manufaa kwa mwananchi huyo na kwamba tatizo si fedha bali ni yule aliyepewa dhamana ya kusimamia fedha hizo, ndipo mwananchi atakuelewa.

Ukiyapima vizuri maswali yangu, yamelenga sana ni jinsi gani Mbunge anavyofanya kazi kuhakikisha kuwa Serikali Kuu na TAMISEMI, zinatimiza wajibu wao kila siku kwa wananchi. Sasa kama Mbunge hafanyi kazi yake ipaswavyo na ana uoga kwenda kudai na kutetea haki za watu wa jimbo lake, kwa nini basi aendelee kupigiwa kura kwa kuwa anaahidi atajaribu kufanya kazi mwakani akishachaguliwa tena?

Ikiwa Mbunge huyu, haoni umuhimu wa kuwa cheche ya fikra na mwamko wa uzalishaji mali hata kupata support ya wananchi wake kuwa ni kweli anachapa kazi na ana nia ya kuleta maendeleo haya wilayani, kwa nini aendelee kuaminiwa na kulipwa kwa kodi za hao wananchi?

Ikiwa mbunge huyu anashindwa kutumia juhudi na maarifa katika kuleta mabadiliko ya kuboresha maisha ya watu wa jimbo lake, kwa nini aendelee kupigiwa kura?

Sasa maswali hayo 22 na mengine mengi ni kuipa CHADEMA mtazamo mwingine wa OS na ni jinsi gani wakitumia mbinu mbali mbali wanaweza kuwafikia wananchi na matunda yakaonekana kwenye kupiga kura.

Nafikiri wengi wenu mmesahau ile ripoti ya Kamati y CCM kwenye uchaguzi mdogo Busanda ilitaja vitu gani ambavyo CCM ilikuwa ikiviangalia kama dira ya kujisahihisha. Ripoti ile haikutaja hata kitu kimoja kuhusu vyama vya upinzani bali ilipima ni vipi kero za wananchi zimepatiwa ufumbuzi na hatua gani zichukuliwe kwa watendaji walioshindwa kurekebisha kasoro zinazoleta kero.

Sehemu kubwa ya maswali yangu, ni kero za wananchi, ambazo CCM inaziangalia na kutafuta viraka kuviziba. CHADEMA na upinzani vinapaswa kupasua huo ufa wa CCM na kuwaambia wananchi kuwa kero zao zitaisha kwa kumchagua mtu ambaye si CCM na kuwakumbusha wananchi kuwa kero ni hizi, pesa ni hizi na tatizo ni uongozi.

Well said Reverand,inaonekana sasa tunakubaliana kuwa dhana nzima ya OS ni nzuri tu regardless of matokeo,na sasa tunajikita zaidi kwenye dhaifu za OS zinazopelekea matokeo tofauti yale yale yaliyotarajiwa....

Kwa kuanzia; Kwasababu sasa tunaamini kuwa tunahitaji viongozi makini,macho yetu yako sasa kwa viongozi kama kina Dr. Slaa,lakini bado pia tunaweza kuona hakuna mshikamano ambao ni muhimu na unatakiwa kwa wakati huu,mshikamano utakaoweza ku enforce ile imani ama idea miongoni mwa wananchi ya kutaka kuamini kina Slaa,Mbowe na wengineo wanachosema....Remember i am putting my self on regular mwananchi's shoes...Wakati wa mikutano hiyo ya OS Zitto alikuwepo mwanzoni,then hayuko,wanadai yuko masomoni,lakini tena nasikia yuko bongo...Yote hayo yalitokea wakati naamini kulikuwepo misuguano....

Wengi wana conclude kuna fall out kutokana na issue flani flani ama misimamo ya tofauti ,na pia pengine issue ya kugombea nafasi ya uenyekiti kulikofanywa na Zitto,all in all ni wazi mfarakano upo,ama misimamo ya tofauti ambayo imeutikisa ule mshikamano uliokuwepo hapo awali......

Swali linakuja....je impact ya mfarakano huo imepimwa? Wananchi wanauchukulaje mfarakano huo ama misimamo hiyo ya tofauti ambayo inaondoa mshikamano?

Sisi hatuko kwenye ground kwenye mikutano hiyo na certianly tuko somewhat limited in regard to the actualities on the ground,na ndio maana huwa napenda sana kulirudia hili kuhusiana na sisi kuwa na inputs za watu wenye first hand info on the ground,miongoni mwa wananchi,yes tuna kipimo valid ie matokeo ya uchaguzi,lakini hayo ni matokeo,hapa tunataka kujua kwanini matokeo yamekuwa hayo,tofauti na matarajio ya wengi...Hivyo basi hopefully Dr Slaa ama wengine kama Gender Sensitive mtakuja kutueleza kama this is a none issue....Tujue kwanza kama ni tatizo,na kama si tatizo then we should still move on to see what other problems might have brought about the so called OS weaknesses.
 
Hiyo rekodi siwezi kukupa,ila tukirudi kwenye suala la msingi hapa unaonekana kukubaliana na mimi kuwa ni uongozi mbovu na wakati huo huo kudai kwamba system ndiyo mbovu,naomba tuelewena kwanza kabla ya kujaza postings hapa....Mimi nasema tunahitaji uongozi makini kwanza,na wewe unasema tunahitaji katiba mpya kwanza,sasa katiba mpya itatoka kwa viongozi hao hao unaodai tusiwabadilishe kwanza?Tafadhali lenga kwenye points ili tusipotezeane muda.


Mkuu huwa unachagua tu ni kipi cha kusoma kwenye posting unazojibu?hilo lita icost disscussion yetu,certainly in terms of understanding exactly the basics of our argument...Kifupi hakuna pahala nimekubali kuwa tunatakiwa kuanza na katiba persee!soma vyema posting mkuu,nikasema wazi kwamba kama ilivyokuwa kwenye posting ya kumjibu Rev. that the only way we can compromise on this one ni if tutakubalia kuwa they should go hand to hand,ila preferbly uongozi mpya kwanza,then katiba mpya,viongozi wale wale na katiba mpya ni sawa na kuomba mchango wa damu kutoka kwa marehemu!Pia sikuelewe unapodai eti nime confirm kuwa hao viongozi ninaotaka wachukue nafasi za ccm ndiyo wabovu,i have failed to understand the overall objective of your statement.



Angalia hii satement yako hapo juu inavyokinzana na hizo za awali,na pia nimeshindwa kabisa kuelewa una maanisha nini kwenye highlights,sasa unasema nime confirm kuwa hao viogozi watakao wareplace mafisadi nao ni wabovu,halafu hapo hapo unauliza namna ya kuiondoa ccm madarakani,sasa unataka nijibu nini hapo?




!

Kwa sababu umesema nilenge point acha nijitahidi; Naona umeenda mbali kabisa na mtazamo wangu, kumbuka kuwa ninapojadili hili sina side kama wewe ambaye ni chadema. Tukijadili ki-hivyo ndiyo unaona kama mimi nataka CCM wabaki madarakani. Point zako za kuwa tuondoe kwanza uongozi ndio mabadiliko ya katiba yaje ni point mfu na point za mtu ambaye haijui Tanzania. Kusema tutake mabadiliko ya katiba haina maana issue zingine zisiendelee kama OS. Is a matter of priority. Point zangu ni kuwa

1. Lazima kwanza tuanze na mabadiliko ya katiba, vyama vyote vikubaliane kuunda serikali ya mseto, na kubadili tume ya uchaguzi, hili lilitakiwa lifanyike mwaka 1992!!!Kubadili katiba siyo swala zito wakitaka wanaweza, Mbona Zanzibar imewezekana??

2. Mkiisha kubaliana hilo la kwanza then OS, na activities zingine zifanyike kwa kasi ili anayepata kura nyingi ndiyo aongoze serikali kwa kiasi kwa asilimia kubwa

3. Leo hii OS haina tija na hasa kwa chadema yenyewe! haifaidiki na matunda ya OS, maana hatma ya OS ni watu kupiga kura, na ni wazi hakuna ushindi wa u-rais kama 1. lisipofanyika. Point number 1 is first priority

4. Swala la Ufisadi na mafisadi ni kazi kubwa na nimesema, issue hapa isiwe kuongelea ufisadi, issue ni kuwaondoa mafisadi, na point number 1 , inalenga kivunja mizizi ya CCM ili upinzani uchukue nafasi!!!! kusema ufisadi tumesema sana, na still matokeo yake tunayaona, kura za urais zimepungua kutoka 1995 to 2005! contrary na expectation kuwa as days going on watu wanafumbuka na kuujua ukweli. Tanzania hicho kitu kimekuwa proved hakipo,,technique za kuwasema CCM na ufisadi wao Tanzania hazifanikiwi, matokeo ya kura za maoni, kutukuzwa kwa wabunge mafisadi zimeonyesha hivyo! na mwaka huu ni ushahidi kuwa hakuna mpinzani wa JK ambaye ni mwana CCM japo tumepiga kelele za kila aina hii miaka minne!! why we are not changing techniques??

5. Rejea issue za ufisadi, leo hii hakuna chama chochote ambacho kitaaminika na watanzania kuwa siyo mafisadi! na nature yetu ime-prove hivyo! wote hawa akina slaa wana tuhuma aidha ziwe za kweli au uongo! Kupingana na rushwa kwa mtu yeyote ambaye analipenda hili taifa siyo kuiondoa CCM, bali kuwa na system za KUZUIA rushwa vizazi vyote vijavyo!nkatika kuweka hizo system CCM itakufa , na la kwanza ni number 1, hivi unajua maufisdi mengi nchi hii yanakaliwa kikao na mabaraza ya mawaziri? wanapitisha? je vyama vikiwa vitano vinaongoza serikali hizo njia zitatokea wapi?

6.Kuwa kusema hivi sina maana CCM ibaki madarakani!! for God sake, points zangu zinalenga lipi lifanyike kwa sasa, na nini kuzuia matatizo haya yasijitokeze,if you dont have side in this issue you will clearly see that my aim ni kusaidia upinzani, siyo kutoka jasho la OS then hupati kura wala uongozi kisa eti kuielimisha jamii , since when chadema is NGO?? NINACHOSEMA hapa ni tactic za kuondoa CCM, OS ni kupoteza muda na sisiti kusema ni ufinyu wa mawazo kudhania CCM itaondika madarakani kwa OS! BILA KWANZA KUTIMIZA NAMBA 1!!!!!!!!!1 If CCM must go then we must find a way iondoke kwa kusema hivi sisemi ibaki !! ambapo OS haiwezi labda uje na concrete evidence, na ipite tena baada ya CCM kupita, jamani mahubiri haya nhubiria watu kanisani jana acha uzinzi leo hii same kijana ankuja na kusema nilizini jana jioni baada ya mahubiri! OS is mahubiri, huwa yanafutika!

Tactic ninazozisema hapa vyama hivi haviko tayari kufanya, wakati CUF visiwani wamafikia ngau sehemu wanaweza wakasema tushushe pumzi, Tz bara mtu anasema uwiona wa wabunge zaidi ya 250 na wabunge watano!!! mabadiliko ya katiba ni kilio cha kwanza!!! na wao akina Slaa wanalijua hili! ni afadhali ikubalike na wao wakubali ndani ya mioyo yao kuwa ni NGO siyo opposition, opposition is meant kushinda na sio kuhubiri wanachosema! what Mrema did 1995? alitumia OS?? why are we not learning from past 20yrs, WHY ARE we adoring the very same techniques ambazo miaka 50 ijayo tutagundua kuwa hazisaidii!

Kwa nini chadema maoni yao na mawazo yao ndiyo CCM wanayatumia kuongoza, hizo tuhuma za OS, CCM wakizifuta kwa kuwapeleka akina Komba wakaimba na kuwapa pilau unafikiri huwa zinadumu? ni kama kuangalia sinema ya wagonjwa wa ukimwi, kisonono na kaswende na kuzimika kwa siku mbili, siku ya tatu umesahau na unaanza mchezo kama kawaida!!! this also confirming that mabadiliko ya katiba ni ya lazima, is not an option? otherwise tukubaliane CHADEMA ndiyo CCM!!!

Nimesema pia, hivi leo CCM wanashinda kihalali hakuna uwizi wa kura, OS ikifanikiwa na watu nchi nzima wakasema wanaipigia CHADEMA KURA, kuna kizingiti kingine cha tume ya uchaguzi, Kenya is a good example!!! kwa nini hivi vyama havililii tume ya uchaguzi huru, achili mbali katiba, HIVI VYAMA VINAITAKIA nini nchi hii, vinawaza nini? yaani kila chama kinawaza kama CCM! kuwa iko siko vitashinda na kuongoza nchi!!! what a shame!

So nakueleza hizo basics ambazo hazifanyiki hivyo kufuta kabisa kuwa hakuna opposition nchi hii, ule upinzani wa kweli, ila kuna kudanganyana sana!! napenda kuwa m'baya katika hili, ila naomba tuangalie ukweli



So nahitimisha kusema kuwa OS ni ufisadi wa fikra, maana hata Chadema hawafai kuongoza hili taifa kama peke yao, ni taifa la wote watanzania kila mtu awe na nafasi, nitashangaa sana leo wana chadema wakisema wanataka siku moja waliongoze hili taifa kama CCM inavyoliongoza sasa!!! what it will be the different then btn CCM and Chadema??

Mimi ni mtanzania nasumbuliwa na ukweli sina uchadema wala UCCM , ukweli ndio huo! CCM must go, and Tanzania must reign, not Chadema alone!

Misingi kwanza kaka, unaezeka mabati nyumba haipo? akina Mtei, marando, mapalala, kambona, n.k walikosea hili, then leo mika 20 bado tuwaze kama waliokosea bila kubadilika what is that makes us? fools?

hao wapinzani hakuna mwenye uchungu na hili taifa, hata wao wanajua hivyo!

Nadhani safari hii sijakupotezea muda!
 
Mataifa yote yaliondolewa katika mess na watu si MFUMO. Mfumo ni kitu kinachowekwa na watu kuendeleza yale wanayoyaamini. Mfumo siku zote hakiwezi kuwa kitu cha kwanza. Tatizo la nchi yetu si mfumo ni WATU. Ni lazima tuhakikishe tunapata watu wanaofaa. Hao ndo watajenga mfumo bora.

Kwa hiyo hata huko CCM akipatikana mtu bora anaweza akasawazisha yote na mambo yakawa mswano mara moja. Tatizo huyo mtu atapatikana wapi na lini? Ukiangalia huko na kule haielekei kuwa mtu huyo yuko karibu kuonekana! Lakini historia inaonesha kuwa yuko miongoni mwetu. Hatuwezi kumtambua kwa kuwa wote tuko tainted!

Kipimapembe,ndicho nilichokuwa nikijaribu kumwelewesha waberoya,yeye alikuwa akidai mfumo kwanza,then viongozi wabovu baadaye,nlishangazwa na imani hiyo,nadhani atakuwa ameelewa....Shukrani kwa kuliweka kwa kifupi,ilini cost three postings to try and explain that LOL!
 
Mataifa yote yaliondolewa katika mess na watu si MFUMO. Mfumo ni kitu kinachowekwa na watu kuendeleza yale wanayoyaamini. Mfumo siku zote hakiwezi kuwa kitu cha kwanza. Tatizo la nchi yetu si mfumo ni WATU. Ni lazima tuhakikishe tunapata watu wanaofaa. Hao ndo watajenga mfumo bora.

Kwa hiyo hata huko CCM akipatikana mtu bora anaweza akasawazisha yote na mambo yakawa mswano mara moja. Tatizo huyo mtu atapatikana wapi na lini? Ukiangalia huko na kule haielekei kuwa mtu huyo yuko karibu kuonekana! Lakini historia inaonesha kuwa yuko miongoni mwetu. Hatuwezi kumtambua kwa kuwa wote tuko tainted!

Hii analysisi yako safi sana.

Ulichoongea ni kweli tupu, Na naamini ktk hilo. Hata huko upinzania kote na CCM hakuna mtu huyo unayemuongelea, ndio maaana hizi siasa eti kubadirisha chama ndio maendeleo binafsi sizielewi.

kubadirisha chama ni sawa na kubadirisha walaji, ktk Tanzania . Ukombozi utapatikana pale mtu sahihi atakapopatikana bila kujali katoka wapi na kwanini.
 
Kwa sababu umesema nilenge point acha nijitahidi; Naona umeenda mbali kabisa na mtazamo wangu, kumbuka kuwa ninapojadili hili sina side kama wewe ambaye ni chadema. Tukijadili ki-hivyo ndiyo unaona kama mimi nataka CCM wabaki madarakani. Point zako za kuwa tuondoe kwanza uongozi ndio mabadiliko ya katiba yaje ni point mfu na point za mtu ambaye haijui Tanzania. Kusema tutake mabadiliko ya katiba haina maana issue zingine zisiendelee kama OS. Is a matter of priority. Point zangu ni kuwa

1. Lazima kwanza tuanze na mabadiliko ya katiba, vyama vyote vikubaliane kuunda serikali ya mseto, na kubadili tume ya uchaguzi, hili lilitakiwa lifanyike mwaka 1992!!!Kubadili katiba siyo swala zito wakitaka wanaweza, Mbona Zanzibar imewezekana??

2. Mkiisha kubaliana hilo la kwanza then OS, na activities zingine zifanyike kwa kasi ili anayepata kura nyingi ndiyo aongoze serikali kwa kiasi kwa asilimia kubwa

3. Leo hii OS haina tija na hasa kwa chadema yenyewe! haifaidiki na matunda ya OS, maana hatma ya OS ni watu kupiga kura, na ni wazi hakuna ushindi wa u-rais kama 1. lisipofanyika. Point number 1 is first priority

4. Swala la Ufisadi na mafisadi ni kazi kubwa na nimesema, issue hapa isiwe kuongelea ufisadi, issue ni kuwaondoa mafisadi, na point number 1 , inalenga kivunja mizizi ya CCM ili upinzani uchukue nafasi!!!! kusema ufisadi tumesema sana, na still matokeo yake tunayaona, kura za urais zimepungua kutoka 1995 to 2005! contrary na expectation kuwa as days going on watu wanafumbuka na kuujua ukweli. Tanzania hicho kitu kimekuwa proved hakipo,,technique za kuwasema CCM na ufisadi wao Tanzania hazifanikiwi, matokeo ya kura za maoni, kutukuzwa kwa wabunge mafisadi zimeonyesha hivyo! na mwaka huu ni ushahidi kuwa hakuna mpinzani wa JK ambaye ni mwana CCM japo tumepiga kelele za kila aina hii miaka minne!! why we are not changing techniques??

5. Rejea issue za ufisadi, leo hii hakuna chama chochote ambacho kitaaminika na watanzania kuwa siyo mafisadi! na nature yetu ime-prove hivyo! wote hawa akina slaa wana tuhuma aidha ziwe za kweli au uongo! Kupingana na rushwa kwa mtu yeyote ambaye analipenda hili taifa siyo kuiondoa CCM, bali kuwa na system za KUZUIA rushwa vizazi vyote vijavyo!nkatika kuweka hizo system CCM itakufa , na la kwanza ni number 1, hivi unajua maufisdi mengi nchi hii yanakaliwa kikao na mabaraza ya mawaziri? wanapitisha? je vyama vikiwa vitano vinaongoza serikali hizo njia zitatokea wapi?

6.Kuwa kusema hivi sina maana CCM ibaki madarakani!! for God sake, points zangu zinalenga lipi lifanyike kwa sasa, na nini kuzuia matatizo haya yasijitokeze,if you dont have side in this issue you will clearly see that my aim ni kusaidia upinzani, siyo kutoka jasho la OS then hupati kura wala uongozi kisa eti kuielimisha jamii , since when chadema is NGO?? NINACHOSEMA hapa ni tactic za kuondoa CCM, OS ni kupoteza muda na sisiti kusema ni ufinyu wa mawazo kudhania CCM itaondika madarakani kwa OS! BILA KWANZA KUTIMIZA NAMBA 1!!!!!!!!!1 If CCM must go then we must find a way iondoke kwa kusema hivi sisemi ibaki !! ambapo OS haiwezi labda uje na concrete evidence, na ipite tena baada ya CCM kupita, jamani mahubiri haya nhubiria watu kanisani jana acha uzinzi leo hii same kijana ankuja na kusema nilizini jana jioni baada ya mahubiri! OS is mahubiri, huwa yanafutika!

Tactic ninazozisema hapa vyama hivi haviko tayari kufanya, wakati CUF visiwani wamafikia ngau sehemu wanaweza wakasema tushushe pumzi, Tz bara mtu anasema uwiona wa wabunge zaidi ya 250 na wabunge watano!!! mabadiliko ya katiba ni kilio cha kwanza!!! na wao akina Slaa wanalijua hili! ni afadhali ikubalike na wao wakubali ndani ya mioyo yao kuwa ni NGO siyo opposition, opposition is meant kushinda na sio kuhubiri wanachosema! what Mrema did 1995? alitumia OS?? why are we not learning from past 20yrs, WHY ARE we adoring the very same techniques ambazo miaka 50 ijayo tutagundua kuwa hazisaidii!

Kwa nini chadema maoni yao na mawazo yao ndiyo CCM wanayatumia kuongoza, hizo tuhuma za OS, CCM wakizifuta kwa kuwapeleka akina Komba wakaimba na kuwapa pilau unafikiri huwa zinadumu? ni kama kuangalia sinema ya wagonjwa wa ukimwi, kisonono na kaswende na kuzimika kwa siku mbili, siku ya tatu umesahau na unaanza mchezo kama kawaida!!! this also confirming that mabadiliko ya katiba ni ya lazima, is not an option? otherwise tukubaliane CHADEMA ndiyo CCM!!!

Nimesema pia, hivi leo CCM wanashinda kihalali hakuna uwizi wa kura, OS ikifanikiwa na watu nchi nzima wakasema wanaipigia CHADEMA KURA, kuna kizingiti kingine cha tume ya uchaguzi, Kenya is a good example!!! kwa nini hivi vyama havililii tume ya uchaguzi huru, achili mbali katiba, HIVI VYAMA VINAITAKIA nini nchi hii, vinawaza nini? yaani kila chama kinawaza kama CCM! kuwa iko siko vitashinda na kuongoza nchi!!! what a shame!

So nakueleza hizo basics ambazo hazifanyiki hivyo kufuta kabisa kuwa hakuna opposition nchi hii, ule upinzani wa kweli, ila kuna kudanganyana sana!! napenda kuwa m'baya katika hili, ila naomba tuangalie ukweli



So nahitimisha kusema kuwa OS ni ufisadi wa fikra, maana hata Chadema hawafai kuongoza hili taifa kama peke yao, ni taifa la wote watanzania kila mtu awe na nafasi, nitashangaa sana leo wana chadema wakisema wanataka siku moja waliongoze hili taifa kama CCM inavyoliongoza sasa!!! what it will be the different then btn CCM and Chadema??

Mimi ni mtanzania nasumbuliwa na ukweli sina uchadema wala UCCM , ukweli ndio huo! CCM must go, and Tanzania must reign, not Chadema alone!

Misingi kwanza kaka, unaezeka mabati nyumba haipo? akina Mtei, marando, mapalala, kambona, n.k walikosea hili, then leo mika 20 bado tuwaze kama waliokosea bila kubadilika what is that makes us? fools?

hao wapinzani hakuna mwenye uchungu na hili taifa, hata wao wanajua hivyo!

Nadhani safari hii sijakupotezea muda!

Umerudia yale ale,kabla sija attempt kwenda line by line,naomba tena upitie postings na kusoma kwa makini maoni ya wenzako mkuu! Katiba mpya ndiyo tatizo la OS ma sijakupata?

Usikariri maana ukiwekewa formula ya tofauti unaweza kujikuta unarudi kinyume nyume badala ya kwenda forward....Tunahitaji viongozi makini kwanza period!
Well unadai eti mimi ni chadema,mkuu acha vituko!

Nasubiri ka Kipima Pembe anaweza kutumia tena maneno machache kukuelewesha kwa mara nyingine mkuu,ikishindikana nitajaribu tena,ila kwasasa naomba nikupe muda upitie postings zilizopita na ueleze ni wapi hujaelewa.....?Unless tofauti yetu iko kwenye tafsiri ya katiba na mfumo.....Nili refer mfumo kama katiba,labda it will make a difference?

Nani amesema madai ya katiba mpya ni kuondoa OS? Ofcourse naelewa madai ya katiba mpya hayahusiani na OS....Hapa si tunazungumzia udhaifu wa OS?Yani kwanini wananchi dont get it?OS inaelezea ubovu na ufisadi wa viongozi unavyo li cost Taifa!

Halafu wewe ukaja na pointi kuwa hakuna haja ya kutaka viongozi wapya kabla ya kubadili mfumo ama katiba,ndiyo na mimi nikasema viongozi wapya comes first,sasa naona maelezo mareefu huku ukini brand mimi kuwa chadema ndani ya mawazo yako!

Hayo mambo ya serikali ya mseto ni nje ya pointi hayana uhusiano na weaknesses za OS!
Mkuu kwenye highlights kweli umelikoroga,hakuna shida kuhusu muda ninao kwa takriban wiki hivi....Ila ebu jaribu kupitia hiyo posting yako kwa makini na uweke msisitizo kwenye highlights,mzee umelikoroga kweli kweli,mara unakubali mara unakataa,mara unanipachika uchadema halafu unajenga hoja ya uchadema vs u ccm na huku ukijitoa kwamba uko neutral na wakati ni mkororgo mtupu huku ukisema hakuna nayefaa nk,bado unataka tutegemee mafisadi wattupatie katiba suistanable!?

Samahani,turudi kwenye hoja za msingi,ama labda hatujaelewana,tafakari tena na narudia,pitia postings zote na yako ikiwemo.
 
Josh,

Hakuna aliyesema OS si nzuri au haijaweka mambo vizuri. Ninachokizungumzia ni kupima matokeo ya OS na kuangalia ni mbinu gani walizotumia na kwa nini hakuonekani kama Watanzania kweli wamesikia na kuelewa OS.



Sasa maswali hayo 22 na mengine mengi ni kuipa CHADEMA mtazamo mwingine wa OS na ni jinsi gani wakitumia mbinu mbali mbali wanaweza kuwafikia wananchi na matunda yakaonekana kwenye kupiga kura

Rev , Amani iwe na kwako pia !
Tumekuelewa na Dr. Slaa alikiri juu ya maoni yako murua, tatizo hapa ni njia ipi bora ili uwexe kupima matokeo kwa maana ya matokeo ya kura ni rahisi sana kupata matokeo unayotaka kwa kundi ndogo na maalum, mathalani ukiwaendea wasomi kuwauliza maswali hayo au mengine utapata majibu unayotaka na matokeo ukayaona lakini sio katika siasa.
Utajidanganya sana kwa kutumia matokeo ya Serekali za Mitaa kama ndio kiashiria cha udhaifu wa OS. Nataka niamini ww ulipiga kura ktk uchaguzi huo mm sikupiga kura kwa sababu ya dharura ya safari lkn najua mamia ya wakaazi wa kitongoji changu hawakupiga kura bila ya sababu yeyote ni vyema kwanza ukajiridhisha kwa takwimu kisha ujenge hoja kwa matokeo ya uchaguzi wa serekali za mitaa. Aidha ujue ni kwa nini wapiga kura wengi hawajitokezi ktk chaguzi za marudio ni kwamba hawaoni umuhimu wa kupiga kura tena au hawajui thamani na faida ya kupiga kura ujiridhishe na kama hayo ni matokeo ya udhaifu wa OS

Siasa si nadharia ni uhalisia unaobadilikabadilika wakati kwa wakati ni vyema basi wenzetu kina slaa walielewe hili na kuchukua hatua kama chaguzi za serekali za mitaa mpiga kura alipaswa kuandika tena kwa usahihi majina 26 ya Mwenyekiti na wajumbe 25 wa serekali ya kijiji mpiga kura huyo hajui kusoma na kuandika unatarajia matokeo gani kama sio 93% kwa ccm.Jitahada za Os pia ziende sambamba na utaratibu bora wa kupiga kura ni lazima uwe rahisi na wa kueleweka.Vinginevyo matokeo anayotaka Rev hayataonekana

Mwisho lazima tukubali mfumo huu wa vyama vingi umeanzishwa na CCM haukutokana na watu ndo maana vyama vingi vinaishia ukumbi wa Maelezo pale Samora Av. Vyama hivi vitakapomilikiwa na watu matokeo unayotaka utayaoona
 
Monoko Mushi,

Bila kuunda mfumo unaokubalika hata kujenga katiba mpya, kubadilisha uongozi kwanza ni kazi bure!

CCM ndio viongozi sasa hivi na wamesema mara kadhaa kuwa wao hawaoni tatizo lolote jinsi Katiba ilivyo, mfumo wa kiutawala ulivyo au hata sheria zilivyo, zinakidhi matakwa na maslahi yao.

Tunahitaji kujenga msingi mpya ambao kila mtu atanufaika na msingi huu na si mtu mmoja.. Leo hii CHADEMA, CUF, TLP au NCCR wakishika madaraka, nao wataona manufaa ya mfumo ulioinawiisha CCM, na wao watasema hakuna haja ya kubadilisha Katiba au mfumo.

Kama leo hii ndani ya CHADEMA kuna mgongano wa kifikra kati ya makundi mawili, kama vile kulivyo na mvutano ndani ya CCM< je ikifika zamu yao, ni nani atakuwa na nguvu kusema ni lazima tubadilishe mfumo na katiba?

Tulichojifunza kutoka CCM ni hiki. Leo kundi la Wapiganaji linataka mfumo mpya, katiba mpya, lakini wamezidiwa kura ndani ya CCM kwa wale wanaoneemeka na kunufaika na Katiba jinsi ilivyo.

Panapokuwa na mvutano na msuguano namna hii, njia pekee ni kushinikiza kuweka misingi mipya ambayo itahakikisha hakuna atakayeingia na kuwa na dhamana ya kuongoza nchi atajifanyia mambo anavyotaka.
 
Remember i am putting my self on regular mwananchi's shoes...Wakati wa mikutano hiyo ya OS Zitto alikuwepo mwanzoni,then hayuko,wanadai yuko masomoni,lakini tena nasikia yuko bongo...Yote hayo yalitokea wakati naamini kulikuwepo misuguano....

Wengi wana conclude kuna fall out kutokana na issue flani flani ama misimamo ya tofauti ,na pia pengine issue ya kugombea nafasi ya uenyekiti kulikofanywa na Zitto,all in all ni wazi mfarakano upo,ama misimamo ya tofauti ambayo imeutikisa ule mshikamano uliokuwepo hapo awali......

Swali linakuja....je impact ya mfarakano huo imepimwa? Wananchi wanauchukulaje mfarakano huo ama misimamo hiyo ya tofauti ambayo inaondoa mshikamano?

Sisi hatuko kwenye ground kwenye mikutano hiyo na certianly tuko somewhat limited in regard to the actualities on the ground,na ndio maana huwa napenda sana kulirudia hili kuhusiana na sisi kuwa na inputs za watu wenye first hand info on the ground,miongoni mwa wananchi,yes tuna kipimo valid ie matokeo ya uchaguzi,lakini hayo ni matokeo,hapa tunataka kujua kwanini matokeo yamekuwa hayo,tofauti na matarajio ya wengi....

Mushi,

Ndiyo hatuko kwenye actualities on the ground, lakini we can measure the results or outcomes. So far we have zero outcomes with exception of rebelious votes in Tarime.

Huko majimboni, wananchi hawajawashinikiza Wabunge wao waende Bungeni na kuleta mswaada wa kutatua suala la Ufisadi, uchaguzi wa TAMISEMI umetupa hali halisi kuwa Upinzani pamoja na mahubiri yote bado haujapokelewa na wanachofanya ni kupigia mbuzi gitaa!

That is the actuality on the ground being measured through results! Na hiki ndicho tunachokipigia kelele kuhusu mfumo wa Tanzania ambapo watu hutoa sera, amri na maazimio mengi lakini hawapimi na kujisahihisha kutokana na matokeo.

Sikutaka kutumia fursa hii kupembua taswira ya CHADEMA kutokana na mfarakano wao, lakini kwa kifupi ni kuwa mfarakano uliokuwepo CHADEMA tangu enzi za Chacha Wangwe na hata majuzi wa Zitto na kina Kafulila unaonyesha wazi kuwa credibility ya CHADEMA kama chama makini iko questionable.

Tofauti ya msuguano wa CHADEMA na ule ulioko ndaniya CCM, ni huu; CCM ni chama kikongwe na tayari Watanzania wameshaona ni hatua gani zimetumika huko zamani kudhibiti misuguano. Lakini CHADEMA ni chama kipya na kama kinalia demokrasia na kuilaumu CCM kuhusu demokrasia, iweje chenyewe kishindwe kuwa na demokrasia ya kweli?

Hivyo nitakuachia wewe mwenyewe upime outcome ya mfarakano wa CHADEMA na kubainisha ni kwa kiasi gani umewaumiza na kupunguza si thamani tuu, bali hata kuaminiwa.
 
Miner,

Sikupiga kura maana siishi Tanzania sasa hivi. Lakini nilikuwa nyumbani wakati wa kampeni mpaka hata karibu siku kura za TAMISEMi zinapigwa.

Nimeuliza je upinzani ulijifunza nini kutoka uchaguzi wa TAMISEMI 2004, je walisahau kuwa Mzee Trekta (Malecela) alitembea nchi nzima na kuhakikisha TAMISEMI inarudi mikononi mwa CCM?

Je kuna anayejua umuhimu wa kuwa na nguvu katika TAMISEMI ambako huko ndio grassroots za vijiji, mitaa, kata, tarafa na hata wilaya kupitia udiwani?

Je tumesahau kuwa ujumbe wa nyumba kumikumi ili kuwa ni njia ya kuwafikia wananchi kisiasa ili waikubali CCM na matokeo yake yanaonekana hadi leo hii Wananchi wana imani na CCM na mapenzi ya dhati kuliko mtu mwingine?

NIlipokuwa nyuumbani, kama nilivyosema awali, niliwasilianana watu kadhaa wa vyama vya upinzani na nilijionea mwenye kwa macho yangu kuwa ni CUF pekee, ndio walikua na harakati za kushiriki TAMISEMI.

CHADEMA haikuona umuhimu wa kuweka mtaji kwa TAMISEMI.

Hata hivyo, kama CHADEMA hawakuweka mgombea na labda CUF au chama kingine kiliweka mgombea, kwa ini Wananchi waliipa CCM dhamana ya TAMISEMI kwa kiasi kikubwa namna hiyo huku tangu mwaka 2006 wamekuwa wakisikia CCM ni fisadi na hata kuisikia OS?

Ndio maana namjibu Mushi na kumwambia kama OS ingekuwa imara na kueleweka hata kukubalika kwa Wananchi, tungeona mabadiliko na matokeo tofauti kuanzia TAMISEMI au hata zile chaguzi ndogo za Ubunge zilizofanyika kabla ya TAMISEMI.
 
Reverand,tuwe makini ni nini tunajadili!
Ok tusahahu mambo ya OS kwanza ili tusichanganye issue,turudi kwenye suala la katiba mpya kwanza kabla ya uongozi mpya...Mkuu Reverand kwanza turudi nyuma; Katiba ni mwongozo wa Taifa,na katiba ni mojawapo ya sources za sheria,nasema haijalishi katiba ni ya aina gani,kama hatuna viongozi makini kwanza wanaosimamia sheria za nchi zilizotokana na katiba hiyo,basi ni bure,trust me on that!

Yes tuna tatizo la katiba,lakini huwezi kujump kwenye tatizo la katiba kabla haujahakikisha una viongozi makini,nashangaa ni wapi tunapishana waungwana!

Hata US walipata viongozi makini kwanza kabla ya kupata katiba inayoenziwa for centuries now! Na wanachoamini ni kwamba still nothing is perfect and that their union still needs to be perfected whenever possible!

Hata katiba tuliyonayo ina foundations za kuzuia wizi kama sheria zinazotokana na katiba hiyo zikifuatwa na kusimamiwa na viongozi hao kwa niaba yetu sisi wananchi!

Sasa wewe unakubali kuwa ccm hawataki mabadiliko ya katiba,hilo ni kweli,hatahivyo naamini hiyo ni macro-level policy,tunahitaji micro.

Tulipokwama ni level yetu sisi wananchi ya kuwawajibisha viongozi kwasababu hawafuati muongozo tuliouweka! Na hata mwongozo tulionao(katiba) unatungiwa sheria zenye ku ucontradict!

Nitakubaliana na katiba mpya kwanza endapo katiba hiyo ni kikwazo cha kupata viongozi mbadala,na certainly hayo yanaweza kurekebishwa ili tuwe na katiba yenye ku encorage demokrasia,kutufanikisha tupate viongozi makini kwanza!

Kina George Washington walikuwa makini kwanza na wakaleta katiba makini! Na hadi leo ni marekebisho tu yanafanyika!
 
Mushi,

Katiba mpya na Viongozi makini vinaweza kwenda sambamba. Lakinin pia tunaweza kupoteza kimoja ambacho ni kikubwa Katiba kama tutakimbilia kutafuta viongozi makini tuu.


Viongozi ni watu, hupita hubadilika. Katiba ni kanuni, sheria, azimio na halibadiliki kirahisi bila kufanyiwa tathmini ya kina.

Leo tutapata kiongozi makini, lakini tukalewa mvinyo kuwa tumempata tunayetaka, lakini hatubadilishi katiba, siku akiondoka akaja mwingine ambaye si makini je tutamwanghulia nani kilio?

Mkapa tuliambiwa ni safi, nasi tukampokea kama Kiongozi Makini, lakini akiwa kwenye kiti cha enzi, tamaa zikamshika, akaiona Katiba inamfaa na itamkinga na akakataa kabisa kuangalia uwezekano wa kuwa na katiba mpya. Alianza kazi akiwa makini, kaondoka madarakani kila mtu anamzomea!

Sichanganyi mambo, ila ndio hali halisi.

Hata Nyerere alikuwa makini, lakini alitumia katiba kwa mujibu wa kile alichokiona ni bora kwake na ndio maana kina Kambona na wengine wakakimbia, kwa kuwa Katiba ililengwa zaidi kichama na kuwalilnda walioko madarakani hata kuwapa nguvu kupita kiasi.

Ukipata muda, ipitie tena Katiba ya Tanzania, halafu ujiulize, kama kweli ni katiba yenye kutoa haki na nafasi sawa ambayo inaweza kutupa viongozi makini.

Ikiwa kila nafasi ya uongozi inateuliwa na lazima ibarikiwe na Rais, huoni hilo pekee ni tatizo kuwa Rais anaweza kujiwekea Vibaraka?
 
Mushi,

Katiba mpya na Viongozi makini vinaweza kwenda sambamba. Lakinin pia tunaweza kupoteza kimoja ambacho ni kikubwa Katiba kama tutakimbilia kutafuta viongozi makini tuu.


Viongozi ni watu, hupita hubadilika. Katiba ni kanuni, sheria, azimio na halibadiliki kirahisi bila kufanyiwa tathmini ya kina.

Leo tutapata kiongozi makini, lakini tukalewa mvinyo kuwa tumempata tunayetaka, lakini hatubadilishi katiba, siku akiondoka akaja mwingine ambaye si makini je tutamwanghulia nani kilio?

Mkapa tuliambiwa ni safi, nasi tukampokea kama Kiongozi Makini, lakini akiwa kwenye kiti cha enzi, tamaa zikamshika, akaiona Katiba inamfaa na itamkinga na akakataa kabisa kuangalia uwezekano wa kuwa na katiba mpya. Alianza kazi akiwa makini, kaondoka madarakani kila mtu anamzomea!

Sichanganyi mambo, ila ndio hali halisi.

Hata Nyerere alikuwa makini, lakini alitumia katiba kwa mujibu wa kile alichokiona ni bora kwake na ndio maana kina Kambona na wengine wakakimbia, kwa kuwa Katiba ililengwa zaidi kichama na kuwalilnda walioko madarakani hata kuwapa nguvu kupita kiasi.

Ukipata muda, ipitie tena Katiba ya Tanzania, halafu ujiulize, kama kweli ni katiba yenye kutoa haki na nafasi sawa ambayo inaweza kutupa viongozi makini.

Ikiwa kila nafasi ya uongozi inateuliwa na lazima ibarikiwe na Rais, huoni hilo pekee ni tatizo kuwa Rais anaweza kujiwekea Vibaraka?

Reverand you're the first one i told kwamba we can compromise,yani tunaweza kukubaliana kuwa they can go hand to hand....yani mabadiliko ya uongozi together with mabadiliko ya katiba,naona umetumia neno sambamba,all in all thats what i've been repeating over and over throughout this disscussion na hata wakati namjibu waberoya,na nikasema given an option,nitachagua viongozi makini kwanza then katiba....Hata hivyo sikubaliani kabisa na notion eti viongozi mafisadi watatupatia katiba bora,uongozi makini has to start first unless we're thinking backwards!
 
Mkuu jmushi1........nakubaliana sana na hoja yako kuwa inabidi tupat viongozi wapya.......na hao viongozi wenyewe inabidi wawe wenye vision na madikteta kama Hugo Chavez (nai-support hii idea ya Bob Mkandara).............

Haya Mashetani/Majambazi CCM hata siku moja kwa ujumla wao hayawezi kuona mapungufu yaliyopo kwenye Katiba.........kwa sababu ni wavivu kusoma, na hata wachache wanaosoma na kuelewa ndio utakuta ni wala rushwa/wabinafsi..............

Sasa basi suali la kujiuliza tufanyeje ili tupate viongozi mbadala?.....Mkuu Bob Mkandara hivi Hugo Chavez aliingiaje madarakani (tupe experience kidogo)................pia nina imani njia kama OS inasaidia kuwafungua macho wananchi kuhusu kuchagua viongozi..........hivyo tusiwakatishe tamaa wahusika ila tuwasaidie kuboresha yale waliyoanzisha kwani makusudi yao........i believe........ ni mema kwa Taifa letu.................

Njia nyingine ya kupata viongozi mbadala ni hii kesi iliyoko mahakamani i.e. Independent Candidates (hapa utawaona wanafiki wakipinga hoja hii).........Yes kutakuwapo na watu ambao si wazuri watajitokeza..................lakini pia itatoa nafasi sawa pia kwa mwananchi mwenye nia nzuri na nchi hii kulitumikia Taifa ipasavyo...........kwani wengine kupitia hivi vyama na ukiritimba uliopo wameshindwa ku-practice talents zao za uongozi................

Tumejaribu pia hata kufikiria kulimit term za uongozi (si umri).............walau tupishe watu wengine wenye mawazo tofauti............hii ya kukaa kuwa kiongozi maisha na mawazo mgando ndio imetufikisha tulipo leo hii............na watu (mishetani/mijambazi hiyo) hawataki kubadilika............kama wao ni viongozi wazuri na wananchi wanawapenda.........lakini hiyo sio sababu yakuwa kiongozi maisha.........wapo viongozi wazuri tu amabo leo wamestaafu na wanashauri vijana wao na wanafanya vyema..............why kung'ang'ania madaraka?.......

Hii idea ya term limit....watu wanaichukulia vibaya kwani tunaweza tukawa na modality ambayo..........itaruhusu mtu kurudia tena uongozi ikibidi baada ya term moja/mbili kupita..........

Operation Sangara na CHADEMA sijawahi kuwasikia wakiongelea hayo masuala hayo i.e Independent Candidates/ Term limits.............sijui itawadhuru kisiasa?............

Inahitaji tu-start somewhere.........then changes to the whole system will be inevitable
.
 
Back
Top Bottom