Mtu wa Mungu
JF-Expert Member
- Nov 9, 2010
- 444
- 19
Baada ya kusainiwa tarehe 01.12.2011 huo mswada wa sisiemu/kafu mbinu zile zile za kutumia UWT zitatumika na within no time katiba mpya hiyo hapo!!!!!!!! Kama wakati ule hakuna aliyekohoa leo nani atadiriki!!!!!!!!! JF tusiganganyane na maneno mengi ambayo ni ya simple minds kujadili watu bila kujadili issues critical to the survival of this dying nation!!!!!!!!!!!!! Pole Tanzania!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!