Samahani nilimaanisha binti wa kabila ganiHauoi kabila mkuu unaoa mtu/binadamu-kabila ni kama jina tuu/utambulisho
Haya mambo ya makabila mbona tunayapa nafasi? Tz hayana nafasi haya labda nchi za wenzetu. ANYWAY, oa kabila lako, ukikosa, oa kabila langu,pia ukikosa oa popote kabila si issue.Binasfi mambo ya ukabila kabila sipendi.Nioe kabila gani?
Nioe binti wa kabila gani?
DC, Samahani mkubwa, nimekuelewa, hongera kwa ndoa yenye amani na upendoICU, kuongea mambo ya kabila kunakera baadhi ya watu na mimi ni mmoja wao. Una maana gani kuongelea kabila wakati wewe unatafuta mke? Kwani baada ya kuoana unataka kuanzisha matambiko ya kikabila? Binafsi nakereka sana na mambo ya kabila na ukabila.
Mimi nilimwoa mtu ambaye alikuwa rafiki yangu mkubwa sana na sasa ni rafiki mzuri na mke wangu tunayependena sana. Sijui kama ningepata mke wa namna hii kama kweli ningeendekeza mambo ya kabila.
tall, samahani kwa kukukwaza ila ndio najifunza kwani may be nilikuwa ICU kwa kufikiri ukabila kumbe sio tijaHaya mambo ya makabila mbona tunayapa nafasi? Tz hayana nafasi haya labda nchi za wenzetu. ANYWAY, oa kabila lako, ukikosa, oa kabila langu,pia ukikosa oa popote kabila si issue.Binasfi mambo ya ukabila kabila sipendi.
Wewe unataka uoe binti kutoka kabila gani na ka nini?Nioe binti wa kabila gani?
Preta, asante Ndugumi nadhani oa mtanzania, kuhusu kabila watanzania swala la ukabila hatuhitaji kuliangalia sana..cha muhimu ni upendo wa dhati....kama ungeuliza uoe nchi gani hapo ningejaribu kukushauri ila na hapo pia binadamu wote ni sawa tunatofautiana tabia tu mkuu...oa uliyeona anakufaa
Unajua nimeuliza hivi kutokana na thread moja hapa hapa jukwaani inayozungumzia udhaifu wa makabila fulani
Mkuu siku hizi kama mwanamke ana haja ya kuolewa na kujiheshimu na anapenda kuishi kwenye ndoa, hakuna cha kabila wala nini, ukifuata makabila utaula wa chuya baba, penda unapopendwa. kuna watu wanajuta mpaka leo, walipendwa na wasichana wasio wa makabila ya kwao, lkn wazazi wao wakalazimisha wakaowe kabila lao, basi maisha si yale tena, daily mtu ana complain maana hakukuwa na mapenzi pale bali kuridhisha wazazi tu. mimi sijaoa kabila langu na wala sioni tofauti yeyote ni raha tupu
LK, ndio nauliza siwezi kusema nataka kabila gani kwani am totally blind on thisWewe unataka uoe binti kutoka kabila gani na ka nini?
bht dada, kwani nimekosea kuuliza? unajua karne wazee wanasema haiondoi asili, ila hapa nimeanza kujifunza sasaKarne hii bado unajiuliza uoe kabila gani???
LK, ndio nauliza siwezi kusema nataka kabila gani kwani am totally blind on this