JosM
JF-Expert Member
- Oct 11, 2008
- 679
- 19
Unajua watu wengine tuna shindwa kujua vichwa vyetu vina uwezo gani wa kuhimili kinywaji? mimi na tumia Serengeti Baridiiiiii! mbili tu,asubuhi na amka niko fresh sana,chakufanya wewe changua kinywaji ambacho unaona akikupeleki sana uwe unatumia hicho kwa uchache sio lazima unywe bia 3 au ni unaweza kunywa bia mbili then unaenda kulala zako.kama ushauri wangu hautakusaidia na kuchauri uache POMBE MARA MOJA!