Masakata
JF-Expert Member
- Jan 2, 2011
- 374
- 137
1.Toka siku ya J4, wiki hii sehemu kubwa ya wakazi wa DSM tunaotegemea maji toka mtambo wa Ruvu chini, hatuna maji kabisa hadi muda huu navyotuma hii post,licha ya tangazo la Mh.Maghembe kupitia taarifa ya habari ITV,siku ya Ijumaa saa 2 usiku kwamba maji yataanza kutoka baada ya saa 12 (nadhani toka tangazo hilo litoke)
Cha ajabu,sasa saa karibu 50 zimeshapita hakuna cha Maji wala Upepo,khali ni mbaya sana hasa maeneo ya huku Kawe naTangi bovu,nadhani kipindupindu nacho hakipo mbali,
2.Waziri wa zamani wa Fedha nae alilidanganya bunge juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CHC,nadhani kamati ya Mh.Zitto watamshughulikia huyu Mr.Mkullo
Sasa nawauliza ninyi mawaziri wa Magamba hivi uwongo mtaacha lini? au ndio kibri cha madaraka au kwa kuwa ninyi familia zenu hamjui mgawo wa maji..kama hii wizara nayo imekushinda Mh.Maghembe achia ngazi..MNAKERA SANA!
Cha ajabu,sasa saa karibu 50 zimeshapita hakuna cha Maji wala Upepo,khali ni mbaya sana hasa maeneo ya huku Kawe naTangi bovu,nadhani kipindupindu nacho hakipo mbali,
2.Waziri wa zamani wa Fedha nae alilidanganya bunge juu ya uuzwaji wa kiwanja cha CHC,nadhani kamati ya Mh.Zitto watamshughulikia huyu Mr.Mkullo
Sasa nawauliza ninyi mawaziri wa Magamba hivi uwongo mtaacha lini? au ndio kibri cha madaraka au kwa kuwa ninyi familia zenu hamjui mgawo wa maji..kama hii wizara nayo imekushinda Mh.Maghembe achia ngazi..MNAKERA SANA!