Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,947
- 22,101
Pamoja na kuwafukuza mameneja watatu kwa kutoa siri zake siri imeshafichuka na huu ndio upuuuzi wa malipo ya mkurugenzi wa ppf mr erio
mshahara million 12 kwa mwezi
posho ya malazi million 4 kwa mwezi
posho ya mafuta million 1.2 kwa mwezi
pamoja na mafuta kulipwa gari hujazwa full na serikali
aidha kila baada ya miaka mitatu hupew million 540 pamoja na kupewa million 108 na samanai za millioni 60 aidha
hapa palinifanya niende kujisaidia nilipohisi mkojo haja kubwa ikaja gafula kwa kweli
.
Amekuwa akitumia asilimia 50 ya kazi zake kusafiri nje ya nchi
per diem yake ni 1,820,000 siku anaondoka mpaka anrudi uwanja wa jnia
akiwa na safari za ndani analipwa laki tano yaani 500,000 kwa siku na kumfanya kuwa mafanyakazi anaetumia fedha nyingi kuliko rais wa nchii tanzania
mshahara million 12 kwa mwezi
posho ya malazi million 4 kwa mwezi
posho ya mafuta million 1.2 kwa mwezi
pamoja na mafuta kulipwa gari hujazwa full na serikali
aidha kila baada ya miaka mitatu hupew million 540 pamoja na kupewa million 108 na samanai za millioni 60 aidha
hapa palinifanya niende kujisaidia nilipohisi mkojo haja kubwa ikaja gafula kwa kweli
.
Amekuwa akitumia asilimia 50 ya kazi zake kusafiri nje ya nchi
per diem yake ni 1,820,000 siku anaondoka mpaka anrudi uwanja wa jnia
akiwa na safari za ndani analipwa laki tano yaani 500,000 kwa siku na kumfanya kuwa mafanyakazi anaetumia fedha nyingi kuliko rais wa nchii tanzania