Nini uhalali wa Mke wa Rais kutumia mali ya umma katika shughuli binafsi?

Kazi yenu nyie humu ni majungu tu,hayatakaa yawasaidie,kama huyu mama anawakera oeni wa kwenu then gombeeni urais then mmweke ndani akisubiria misaada kutoka kwenu.Hivi ni lini waTz mtaendelea,yani unaweza kukuta mtoto wa kiume umekalia majungu tuuu,umbea tuuuuu kama mtoto wa kike unayesubiria kuchumbiwa!!!!!!!!!!!!!Mbona mama Maria Nyerere alikuwa anatumia vyombo vya Serikali,mbona mama Sity mwinyi alitumia,mbona mama Mkapa alitumia tena sana tu,yote hayo hamkuyaona,hebu kueni kiakili,hata mkifanya jungu la namna gani mama wa watu atendelea kulindwa na usalama wa Taifa,atatumia vyombo vya serikali kama kawa tena sana tuuu,kama nyie hamuoni matunda ya kazi zake basi kuna waTz wanaona afterall siyo lazima wote turidhike na kila anachokifanya.
Kama imewauma sana kwa First Lady kutumia na kupokelewa na viongozi wa kitaifa,basi mpigieni kura huyo Slaa wenu mwenye Demu badala ya mke,yeye ndo hataruhusiwa kutumia hata ngao ya Taifa mana ni Demu tu na wala si mke.
KA VIPI PASUKENI,BADALA YA UMBEA TUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUUU,MNAKERA SIKU HIZI,UCHAGUZI UMEKWISHA MMEKOSA VYA MAANA KUONGELEA MMEANZA KUWASAKAMA WENZENU,BADALA YA KUPOST TAKATAKA KAMA HIZO NI BORA MUENDE KJIJINI MKALIME NDUGU ZANGU.gO gO gO gO,Salma Kikwete GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOoo.Never lose focus.

ndio maa hatuendelei kwa sababu ya fikra kama hizi. Itatugharimu sana kuelimisha watu kama huyu walio wengi.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom