ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
mda mrefu sanaa nimekuwa nikisikia sifa za chuo hiki kongwe nchini bila kufahamu sifa hizi hutokana na nini, je, ni ubora wa elimu inayotolewa yaani wakufunzi? ni uzuri wa majengo yake? ni uwepo wa mazingira bora ya kujifunzia yaani lab na equipments? ni hosteli nzuri za kutosha? ni maji safi na salama? je hutokana na ubora wa wanafunzi wanaochaguliwa kujiunga na chuo hicho au ndo cha kale ni dhahabu?
naomba kujuzwa ili nifahamu kwa nini wengi hunishauri kujiunga na chuo hicho na si vingine nchini?
USHABIKI UWEKWE PEMBENI TAFADHALI ili kunisaidia kujua mazingira halisi ya chuo hicho.
naomba kujuzwa ili nifahamu kwa nini wengi hunishauri kujiunga na chuo hicho na si vingine nchini?
USHABIKI UWEKWE PEMBENI TAFADHALI ili kunisaidia kujua mazingira halisi ya chuo hicho.