Nkamangi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2008
- 641
- 29
Dar Es Salaam,
Please, Hivi wewe kweli unafikiria hayo maendeleo unayoyaona kwa watu nyumbani bila ndugu/marafiki zao nje tungefika hapo tulipo..
Trust me mkuu, kila kitu unachokiona madukani, mitaani na kwingineko kuna Mtanzania aliyeko/ anaishi nje anahusika...
I beg to differ!! Kuna watu wanaishi huko vijijini hawana ndugu nje ni wachapa kazi tu wanafanikiwa kwa jasho lao, mimi ni mfano wa matunda ya jasho la abcestors wangu, God bless their souls. Shida watanzania wengi ni wavivu wanapenda vya rahisi rahisi.