Msaaaaada tafadhari.
nimekuwa nikimsikiliza nape kwa makini , sijahi kubahatika kumuelewa , na pia shida hiyo hiyo nayopata kwa nape , pia nilikuwa naipata kwa Tabwe hiza . sasa naomba msaada hivi hawa jamaa wanatofauti yoyote ya utendaji, uropokaji. uwezo wa kufikiri na pengine hata ki elimu?
. nitafurahi ikiwa nitaelezwa .
Wasalaam
nimekuwa nikimsikiliza nape kwa makini , sijahi kubahatika kumuelewa , na pia shida hiyo hiyo nayopata kwa nape , pia nilikuwa naipata kwa Tabwe hiza . sasa naomba msaada hivi hawa jamaa wanatofauti yoyote ya utendaji, uropokaji. uwezo wa kufikiri na pengine hata ki elimu?
. nitafurahi ikiwa nitaelezwa .
Wasalaam