Sijakusoma vyema hapoInatakiwa uwe umelipepa ili kuweza kuelewa CCM inavyofanya kazi
Mbona wengi tu wana tuhuma lakini wamepitishwa; Blandes anakesi ya rushwa mahakamani lakini nae kapitishwa!! Kikwete anausongo na majina ya watu wa Mbeya nini?
Hapa kinachohitajika ni wale waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa ili wapate nafasi hizo wanazozitaka. Kwa lugha rahisi ni wale waliotaka uongozi kwa rushwa na wamefikishwa mahakamani? Huyo Blandes naye kafikishwa? Mbona kila kitu tunakimbilia kudhani ni mkoa fulani?? Hebu tejenge hoja na si tuvizie huruma.Sio Mramba peke yake mwenye tuhuma aliyepitishwa, wako wengine kama vile Blandes ambae nae ana kesi ya rushwa mahakamani lakini amepeta!! Jakaya inaelekea akiona majina yanayofananafanana kama vile watu wa mkoa wa Mbeya yanampa taabu kidogo, anakumbuka walivyompiga mawe!!
Hapa kinachohitajika ni wale waliofikishwa mahakamani kwa tuhuma za rushwa ili wapate nafasi hizo wanazozitaka. Kwa lugha rahisi ni wale waliotaka uongozi kwa rushwa na wamefikishwa mahakamani? Huyo Blandes naye kafikishwa? Mbona kila kitu tunakimbilia kudhani ni mkoa fulani?? Hebu tejenge hoja na si tuvizie huruma.
Inawezekana!Mbona wengi tu wana tuhuma lakini wamepitishwa; Blandes anakesi ya rushwa mahakamani lakini nae kapitishwa!! Kikwete anausongo na majina ya watu wa Mbeya nini?
Sijakusoma vyema hapo
Sawa wote hawa siwanashitakiwa na kesi zao ziko mahakamani inakuwaje mmoja anatolewa
alafu mwingine anaachwa au monica mtandao?
Huyo mmoja tuhuma zake zipo kwenye kupata hicho cheo ila huyo mwingine anatuhuma kwenye kitu kisicho na uhusiano na anachogombea.