Mkuu mbona vitu hivi kama vinaingiliana??au nikitu kimoja??Kiburi ni hali ya kuwa na dharau ya kuzaliwa nayo, yaani mtu ana kuwa mjeuri kila wakati hata kama hastahili.
Jeuri inaweza kuwa ni ya muda kisha mtu akajirekebisha au ikatokea mtu akawa anajeuri baada ya kupata kitu fulani kinachomfanya kujiona yupo tofauti na wengine.
HII NDIYO ETIMOLOJIA YA NENO 'AFADHALI'Wakuu naomba nijuzwe pia tofauti ya maneno haya na matumizi yake katika sentensi.
neno, Nafuu
neno, Afadhali
Neno-KIBURI
Neno-JEURI
Maneno haya kama ya shabihana lakini naona kama ya natofauti kimaana!