King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,603
- 68,509
Mkuu nisikize mimi:
Uchaguzi wa Flat TV Screen
1.Uzuri wa Pichalasma ni best kuliko zote hizo LED na LCD.(Sielezea technology used coz wadau washaelezea)
2.Durability:::LCD inadumu sana kuliko LED,the worst ni Plasma.
3.Flexibility::LED ni Nyembamba compared na nyingine
For myside kama unataka kununua Flat TV mpya na sio mtumba nakushauri ununue Plasma ina quality bomba kinoma na unaweza kuitumia kwa miaka hata 30,kama used nunua LCD.
Uchaguzi wa Flat TV Screen
1.Uzuri wa Pichalasma ni best kuliko zote hizo LED na LCD.(Sielezea technology used coz wadau washaelezea)
2.Durability:::LCD inadumu sana kuliko LED,the worst ni Plasma.
3.Flexibility::LED ni Nyembamba compared na nyingine
For myside kama unataka kununua Flat TV mpya na sio mtumba nakushauri ununue Plasma ina quality bomba kinoma na unaweza kuitumia kwa miaka hata 30,kama used nunua LCD.