mahakama ya kazi toka kuanzishwa kwake haijawahi kutamka mgomo wowote ule dhidi ya serikali kuwa halali, leo hii
mkoba anapowaambia waalimu watii amri ya mahakama ya kazi alikuwa na maana gani kuwaingiza ktk mgomo in the first place wakati anajua wazi serikali itakwenda kwa maajenti wao kuwaelekeza kusimamisha mgomo.
nashindwa kumuelewa mkoba kwamba hayuko tayari kuisikiliza wizara ya elimu lakini yuko tayari kuisikiliza mahakama ya kazi ambayo inaendeshwa kwa mkono wa serikali hiyo hiyo ?? shujaa ulimboka aliliona hili lakini dhaifu mkoba hakuliona. kama ulikuwa huko tayari kuisikiliza mahakama kwanini ulianzisha mgomo in the first place??
ushauri binafsi kwa mkoba.
siku zote unapoanzisha mgogoro naserikali basi uwe tayari kupambana na serikali na maajenti wake wote ikiwemo mahakama ya kazi kama alivyofanya ulimboka ama sivyo utakuwa unawapotezea walimu na wanafunzi muda wao
bure kwa kitendo chako cha kukataa amri ikitolewa na mkono wa kushoto lakini huko tayari kutii amri ikitolewa na
mkono wa kulia.
mkoba anapowaambia waalimu watii amri ya mahakama ya kazi alikuwa na maana gani kuwaingiza ktk mgomo in the first place wakati anajua wazi serikali itakwenda kwa maajenti wao kuwaelekeza kusimamisha mgomo.
nashindwa kumuelewa mkoba kwamba hayuko tayari kuisikiliza wizara ya elimu lakini yuko tayari kuisikiliza mahakama ya kazi ambayo inaendeshwa kwa mkono wa serikali hiyo hiyo ?? shujaa ulimboka aliliona hili lakini dhaifu mkoba hakuliona. kama ulikuwa huko tayari kuisikiliza mahakama kwanini ulianzisha mgomo in the first place??
ushauri binafsi kwa mkoba.
siku zote unapoanzisha mgogoro naserikali basi uwe tayari kupambana na serikali na maajenti wake wote ikiwemo mahakama ya kazi kama alivyofanya ulimboka ama sivyo utakuwa unawapotezea walimu na wanafunzi muda wao
bure kwa kitendo chako cha kukataa amri ikitolewa na mkono wa kushoto lakini huko tayari kutii amri ikitolewa na
mkono wa kulia.