47pro
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 1,204
- 332
Wana JF Hola!! Nimekua nashindwa kutofautisha maneno haya, pengine kuyatumia bila itifaki.
1. Kunyang'anya Vs kupokonya
2.kung'ata Vs kuuma like kuumwa na mbu
3. Kupora Vs kukwapua.
Naombeni mtaalam wa kiswahili aniambie ni maneno yapi kati ya hayo hapo juu yatumike katika muktadha fulani,
Kwa ujumla Nisaidieni
1. Kunyang'anya Vs kupokonya
2.kung'ata Vs kuuma like kuumwa na mbu
3. Kupora Vs kukwapua.
Naombeni mtaalam wa kiswahili aniambie ni maneno yapi kati ya hayo hapo juu yatumike katika muktadha fulani,
Kwa ujumla Nisaidieni