Barbarosa JF-Expert Member Apr 16, 2015 22,584 27,786 Dec 9, 2016 #2 eli bony said: Fgd Click to expand... Nafikiri Hisabati ni somo wakati Hesabu ni kilichomo kwenye somo la Hisabati, sina uhakika nimejaribu tu!
eli bony said: Fgd Click to expand... Nafikiri Hisabati ni somo wakati Hesabu ni kilichomo kwenye somo la Hisabati, sina uhakika nimejaribu tu!
Wa kusoma JF-Expert Member Jul 30, 2011 3,454 2,975 Dec 9, 2016 #3 Hesabu in 12+2= Hisabati ni 2x-4y =
P philip laizer New Member Sep 20, 2016 2 0 Dec 9, 2016 #4 Hisabati:ni somo linalo husisha matendo ya hesabu.mfano.+na- wakati hesabu ni matenda katika somo LA hisabati.
Hisabati:ni somo linalo husisha matendo ya hesabu.mfano.+na- wakati hesabu ni matenda katika somo LA hisabati.
Page 94 JF-Expert Member Oct 22, 2015 5,205 15,162 Dec 9, 2016 #5 Calculations = Hesabu Mathematics = Hisabati
APEFACE JF-Expert Member Oct 1, 2016 5,048 8,627 Dec 9, 2016 #6 Wa kusoma said: Hesabu in 12+2= Hisabati ni 2x-4y = Click to expand... inaleta maana....namba pasipo mlinganyo...ni hesabu....milinganyo ndo hisabati....
Wa kusoma said: Hesabu in 12+2= Hisabati ni 2x-4y = Click to expand... inaleta maana....namba pasipo mlinganyo...ni hesabu....milinganyo ndo hisabati....
fagix JF-Expert Member Jun 3, 2015 739 552 Dec 9, 2016 #7 Hisabati ni somo Lakin hesabu ni maudhui ya somo la hisabati
Behaviourist JF-Expert Member Apr 8, 2016 39,901 95,404 Dec 9, 2016 #8 Ni sawa na mtu akuambie kuwa tofautisha kati ya methods na methodologies!
MO11 JF-Expert Member Mar 23, 2014 18,857 38,605 Dec 9, 2016 #9 Hesabu niliwahi kupata 100% ila tangu ilipoanza kuitwa hisabati hali ikawa ngumu hadi leo