Vennyvenance
Member
- Nov 28, 2011
- 8
- 1
Jamani kwa mtu yeyote mwenye maoni au ushauri kuhusu namna ya kutibu kiungulia au kitaalamu heartburn, mwanajamii naugua napia najua tuna ndugu na jamaa wanaungua na kuuguliwa. Jisikie huru kunisaidia.
Mkuu.@Vennyvenance Pole sana kwa hayo matatizo yako ya Ugonjwa wa kiungulia jaribu dawa yangu ya Tiba Mbadala ya Kiungulia. Dawa ya kutibu maradhi ya Kiungulia Heartburn
Changanya glasi moja (250ml) ya Maziwa fresh ya Ng'ombe na kijiko kikubwa 10ml) cha mafuta ya habati Soda.
Kunywa mchanganyiko huu na urudie kutwa mara tatu (1×3) kwa muda wa siku 5.Kisha uje hapa unipe mimi Feedback unaendeleaje kiafya?
Na wewe Mkuu Lateni unayo hayo matatizo ya Ugonjwa wa kiungulia? Jaribu kuulizia katika Ma Super Market makubwa mimi sipo hapo Dar, au kama kuna mtu mwengine anawezakutusaidia kupata hapo Dar Mafuta ya Habati Soda atuambie jamani.Haya mafuta ya habati soda ni yapi , na nitayapata wapi kwa hapa Dar es salaam?
Na wewe Mkuu Lateni unayo hayo matatizo ya Ugonjwa wa kiungulia? Jaribu kuulizia katika Ma Super Market makubwa mimi sipo hapo Dar, au kama kuna mtu mwengine anawezakutusaidia kupata hapo Dar Mafuta ya Habati Soda atuambie jamani.
Mkuu Viper kwa kiingereza inaitwa jina hili Nigella Sativa oil au jina hili Black Seed oilKwa kiingereza yanaitwaje
Mkuu Nazjaz Jini mwenyewe sio ndio wewe? ulijuaje kama dawa zangu ni za majini?na zinapatikana misikitini? Kwani kwenye Misikiti ndipo yapo majini?Nyumbani pako yapo hayo majini wewe tu huyaoni mimi mbona nipo huko mbali na wewe nimeyaona nyumbani kwako kuna majini moja lipo karibu ya nyumbani kwako la pili lipo nje chini ya huo mti unaopenda wewe kukaa nje ya nyumba yako?Dawa za MziziMkavu zote ni za majini na zinapatikana misikitini tu, nimezunguka super markert zote hamna hayo mafuta ya habati soda, nimesikia eti yapo msikiti wa Mtambani.
Dawa za MziziMkavu zote ni za majini na zinapatikana misikitini tu, nimezunguka super markert zote hamna hayo mafuta ya habati soda, nimesikia eti yapo msikiti wa Mtambani.
Mkuu Viper kwa kiingereza inaitwa jina hili Nigella Sativa oil au jina hili Black Seed oil
Nigella Sativa Oil Or Black Seed Oil.
Mafuta ya Habati Soda hayo. Mafuta haya yanatibu maradhi mengi sana ukiyajuwa umepata faida usipoyajuwa hukupata faida.
Dawa za MziziMkavu zote ni za majini na zinapatikana misikitini tu, nimezunguka super markert zote hamna hayo mafuta ya habati soda, nimesikia eti yapo msikiti wa Mtambani.
Unatumia kama ilivyoandikwa King'asti huyu.@Nazjaz ni mpumbe pumbe kwetu tunamuita mtu kama huyu.MziziMkavu, achana nae huyo. Kaenda supermarket ya kwa mtogole atapataje dawa? Hayo maziwa ya kuchanganyia yanakuwa ya moto ama ya baridi?
Nazjaz, hii wala si dawa ya kienyeji. Ni chakula dawa. Hata ingekuwa ya kienyeji as long as hakuna ritual with its use (kama unywe ukiwa njia panda, umechutama ama ukiwa naked) sioni kama kuna tatizo.