Kalunguine
JF-Expert Member
- Jul 27, 2010
- 2,543
- 134
jamani ndugu zangu nina tatizo na modem yangu ya zantel kila baada ya kama dakika kumi kila ninapoitumia inajidisconnect automatically nimejaribu kutumia afd ili ifanye auto connect sijafanikiwa maana afd inashindwa kuconnect tena nifanyeje wadau?