Wapendwa katika BWANA,naomba kuelimishwa kwanini makarani walio wengi katika ofisi za serikali kuwa wana nyodo na majibu mabovu kwa wateja,hayo yote nimeshuhudia mwenyewe mahakamani,idara za elimu na ofisi za PSPF kwa uchache.Wameniudhi sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.