Nini tatizo la kuwa na uhusiano wa kimapenzi na albino?

Emc2

JF-Expert Member
Sep 26, 2011
16,808
16,836
Samahani sana wana MMU labda ninalotaka kuongelea ni nje ya jukwaa.
Mimi ninataka kujua mtu akiwa na uhusiano wa kimapenzi na mlemavu wa ngozi (albino) kuna matatizo gani ambayo yanaweza yakatokea pande zote mbili?
Mimi siyo mtaalamu wa afya ila huwa nina sikia albino wanapungukiwa na melanini kwenye ngozi yao.
Je haiwezi kuleta madhara mnapokuwa pamoja katika ndoa?

Ninaomba maelekezo kwa upana.
 
Jamani!!
Tatizo alilonalo albino sio mba au chawa useme mkikaa karibu karibu atakuambukiza. Kama umependa endelea kupenda.
 
mjadala wako kuhusu albino hauna mashiko; nenda kajipange upya. Majadiliano kama hayo hayana nafasi kwenye jamii inayozingatia usawa.
 
swali lako nadhani ni swali sahihi. Sisi, tunaofikiria katika anga za haki na usawa, ni wepesi na rahisi kusema kunashida gani kutoka na albino. Nikiri wazi mimi sifahamu ugumu wake - wala unyororo wa ngozi yake, kwani sijakutana naye hata mmoja na kuwa na hisia za mapenzi. Wale niliokutana nao, nimewapenda katika mitizamo yao na utu wao. Kwahiyo, utashi wao si pungufu dhidi yetu. Pia, kitaalamu hakuna tatizo la kiafya kwa kuwa na albion, ugonjwa uliopo ni wa kifikira za idi na imani za ajabu ajabu.
 
Albino nao ni binadamu na wana feelings kama wewe. Asikuzuie mtu kama anakuvutia. Lakini isiwe unataka kujaribisha tu. Kama unampenda basi mpende kweli na dont break her heart. Sababu utakuwa umefanya makosa ambayo hata muumba hatakusamehe. GOODLUCK/
 
Nilikuwa nampenda sana mwalimu wangu wa biology nyie wacheni tu...mana alikuwa ni mwanamke mzuri sana kutoka Angola na kipindi chake ilikuwa lazima nikakae desk la mbele....Yule mwalimu alikuwa very smart na alikuwa anafanya maksudi vile kunionyesha chupi alio vaa kwa mastyle yake pale tupo kwenye class...afu ananibania jicho....ahhh zamani wakati nasoma we wachaa tu...haahaha.

BTW; reason ya kumuongelea huyo mwalimu, kuna siku nilimuliza swali kama hilo akasema fazaa; takufelisha kwenye somo langu....if you sincerely think that, by having kids with an albino will automatically produce one.

Yani wewe kama umeamua kuoa kachukue mali hakun shida...Mimi nakupa hongera kwa kumpenda huyo kiumbe, mana ni binadamu kama sisi na wenye moyo mzuri kama wewe ndo wanafikiria hatua ya kuwao....Mungu akubarikie sana na muishi maisha mazuri wewe na mke wako.
 
Watu wote wanakwepa swali lako:
Kuoa albino, ambaye ana upungufu wa melanin kwenye ngozi kuna challenges zake ukilinganisha na za kuoa mwanamke asiye albino.
1 albino kutokana na upungufu wa melanin ana anapaswa kuepuka kukutana na jua direct. Jua litamsababishia kupata kansa ya ngozi endapo hatatumia mafuta maalum kujikinga. Mwalimu wangu mh margareth nkanga alipigania cream hizi ziletwe kwa ruzuku ila nadhani hajafanikiwa bado. Creme hizi ni ghali kidogo lakini pia kutokana na ngozi yake anapata challenge kufanya kazi ya kukaa juani kutwa mfano kulima
2 mara nyingi huwa na matatizo ya macho kutokana na sensitivity waliyonayo
3 unyanyapaa kutoka kwa jamii mbali mbali, mfano utahitaji kumtetea na kumlinda wakati wote ili asiumie
4 kuna uwezekano wa kupata mtoto albino endapo na wewe una recessive gene ya ualbino. Utahitaji kumtunza na kumlinda kwa ziada ukishirikiana na mama yake
Ukimpenda mwenzi wako, ni rahisi kubebana kwenye udhaifu wowote alio nao kama mengine yote. Jiandae kisaikolojia kuyakabili hayo na utashangaa mtafurahia maisha kama kawa. Just don't break her heart sugar boy, ok? Kama hauko serious be straight from day one!
 
Huombi ushauri wewe bali umeamua kuweka hadharani namna unavyowanyanyapaa albino. Au ni mganga wa kienyeji wewe?. Tehe
 
Watu wote wanakwepa swali lako:
Kuoa albino, ambaye ana upungufu wa melanin kwenye ngozi kuna challenges zake ukilinganisha na za kuoa mwanamke asiye albino.
1 albino kutokana na upungufu wa melanin ana anapaswa kuepuka kukutana na jua direct. Jua litamsababishia kupata kansa ya ngozi endapo hatatumia mafuta maalum kujikinga. Mwalimu wangu mh margareth nkanga alipigania cream hizi ziletwe kwa ruzuku ila nadhani hajafanikiwa bado. Creme hizi ni ghali kidogo lakini pia kutokana na ngozi yake anapata challenge kufanya kazi ya kukaa juani kutwa mfano kulima
2 mara nyingi huwa na matatizo ya macho kutokana na sensitivity waliyonayo
3 unyanyapaa kutoka kwa jamii mbali mbali, mfano utahitaji kumtetea na kumlinda wakati wote ili asiumie
4 kuna uwezekano wa kupata mtoto albino endapo na wewe una recessive gene ya ualbino. Utahitaji kumtunza na kumlinda kwa ziada ukishirikiana na mama yake
Ukimpenda mwenzi wako, ni rahisi kubebana kwenye udhaifu wowote alio nao kama mengine yote. Jiandae kisaikolojia kuyakabili hayo na utashangaa mtafurahia maisha kama kawa. Just don't break her heart sugar boy, ok? Kama hauko serious be straight from day one!

thanks sana naamini amesaidika, maamuzi yake sasa
 
Back
Top Bottom