Nini Tafsiri ya Ubalozi wa Canada kufanya sherehe za taifa lake Dodoma ili wabunge wahudhurie?

Curious indeed
I hope all to be well. But haiwezekani wakapelekewa mabango huko kuwaambia wang'oe mitambo ya BARRICK warudi makwao? Just thinking loud
 
Canada Day is on next Friday 01st July 2011, NOT ON 24/07/2011 (this Friday). Source: google 'CANADA DAY 2011'. Mchezo mchafu???
 
Canada wanawaonga viongozi wetu na kuwanyamazisha wabunge ili waendelee kufaidi rasilimali zetu. Chunguzeni kila linapotokea jambo baya linawahusu Barrick ubarozi wa Canada unaingilia kati kutuliza mzuka.
Inawezekana viongozi wetu wananufaika nao. check hii news kutoka "the citizen news
"the government has offered more tax concessions to mining companies despite growing concerns that the country is not earning its fair share from minerals and other resources exploited by multinationals.In the Finance Bill 2011, the government also made further tax revisions by increasing excise duty on kerosene from Sh52 to Sh400.30 per litre and decreasing the traffic notification fee from the proposed Sh50,000 to Sh30,000"..... kwa news zaidi bofya Mining firms get more tax waivers

Kazi ipo, mimi nilifikiri watawaongezea kodi hawa jamaa na kupunguza PAYE kwa Mfanyakazi wa TZ, ili kumletea unafuu wa maisha, haina maana kupandisha mshahara bila kupunguza PAYE.
 
Canada Day is on next Friday 01st July 2011, NOT ON 24/07/2011 (this Friday). Source: google 'CANADA DAY 2011'. Mchezo mchafu???

Kwa maelezo ya Spika sherehe za leo ni mahsusi kwa ajili ya wabunge wetu! Na ili kuifanya sherehe hiyo iwe exclusive kwa 'legislatures' ubalozi umeamua kuwaandalia wakubwa hawa sherehe a week early! Nadhani sasa ni dhahiri hii sherehe ni LOBBYING event. Naomba watanzania wote kwa ujumla wetu bila kujali itikadi tuafuatilie issue ya Tarime tuone ni lini na kwa style gani (if all) uchunguzi kuhusu mauaji ya Tarime yatafanyika.
 
Wanajenga uhusiano wa kidiplomasia kati ya Bunge la Tanzania na Canada. Unajua watu wenye uhusiano wa kidplomasia wanavyoelezana kama mmoja atakosea? Usishangae siku Barrick wakiburunda mambo wabunge waseme " You know? Canada is a very rich and peaceful country and a friend indeed to Tanzania. We welcome you to Dodoma, Mwanza, Dar es salaam and feel at home" ..... Unajua kingereza cha watawala wetu tena.....weeee.....we.....aamh.........Barrick will be........protected against...... all epidemics.......ooh.....aamh....against ... minerals. .....No I mean..... all dangeroussss.............I'mmmmmh........people....an .....all....all......aammmh!...all ....eeh....wall......wall.....climbers.....in.... aaa......! Tarime....Nyamongo.......aaan.... Chadema.....will.....aaahm....say.....say....eeeeh.....weeeeeeeh... but....but.... CC....aaah CC....eeh CCM .....don't....aaah..GIVE A SHIT!.....yeah...aaah!.... yeah...... give a damn! Yeah......!!

Hao ndiyo magamba! Natamani kujitoa mhanga nilipuke na TV yangu ili nisiwaone wanavyoshabikia pumba kule Mjengoni lakini sina namna.
hahaaaa! the real pic of our Leaders
 
My Take: Probably the Ambasador is aiming to apologise to Tanzanian people on behalf of his country for what had happened in Tarime. Ningekua MBOWE ningewashauri wabunge woote wa upinzani wagome kwenda ktk tafrija hiyo na wangetuma mwakilishi mmoja tu kuitaka serikali ya canada kuilazimisha serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa kina juu ya mauaji hayo

Hawana ubavu wa kuigomea Canada.
 
Mheshimiwa MBOWE, ZITTO, Mheshimiwa MNYIKA, mheshimiwa LISSU, mheshimiwa SUGU, na Waheshimwa wengine wa BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, Tambueni kwamba Duniani Hakuna FREE LUNCH, Mlipinga kwa nguvu sana suala la TAKRIMA ya wanansiasa kwenda kwa wananchi , sasa WACANADA wanataka kuwapeni hiyo TAKRIMA ili muuze MADINI ya NCHI YETU kwa Thamani chache sana. HAKUNA DHARAU KUBWA kama BINANDAMU mmoja anaamini anaweza KUKUNUNUA.

Mnayo CHOICE either mkubali hii rushwa ya msosi na vinywaji, na maneno tele ya kupetiwa petiwa, huku mkipewa Statistics na data za uwongo kuonyesha ni kwa namna gani hao Barrick wamechangia kukua kwa uchumi, au mkasimama kama WANAUME wa UKWELI na kutaka Barrick ijibu kuhusu mauaji ya Raia huko Tarime, na pia Kuipigilia nyundo Serikali ya CCM iongeze kodi(percentagewise na siyo shillingwise) kwa hao waewekezaji ili wananchi tunufaike na Madini yetu.

Kitu cha Msingi cha kufahamu ni kwamba, Ubalozi wa CANADA wanataka kuwalainisha, jiulize kwa nini iwe ni kwa bunge la Tanzania tu kupewa hii ofa na si Malawi, si Uganda na nchi nyinginezo?. jibu ni madini yetu, wakishayachimba yakaisha wala hutawaona wakifanya hayo!!!. SIMAMENI KUTETEA RASILIMALI ZA NCHI HII NA WALA MSIWAONEE AIBU HAO WAWEKEZAJI WALIOKWISHA KUITEKA SERIKALI YA CCM.
 
The nearest Canada day ni 1 July. Otherwise, kuna umuhimu wa kujua hizo sherehe ni za nini huko Dodoma. Au wabunge wanaenda kugawiwa bahasha?
 
Sioni ubaya wowote. Wakanada wanawalambisha kidogf wawakilishi wetu sehemu ya dhahabu wanayochuma. Kuleni mwayego.
 
Mkuu hizi habari umezipata wapi?
Hakuna sherehe yoyote ya Kitaifa Canada Kesho wala kesho kutwa!

kaka ni uhakika hii sherehe inafanyika dodoma kesho, viongozi karibia wote wa juu wa ubalozi wa canada wapo dodoma kwa ajili ya hii shughuli.
tunajua kuwa canada day ni tarehe moja julai.
cha kushangaza ni kwa nini wao wameamua kufanya sherehe yao kesho na kuifanyia hii sherehe kule dodoma?
there is definetly something much more fishy, I hope the opposition camp will scrutinise why these celebrations are held before time
 
Jamani lazima tusome katikati ya mstari ili tuelewe maana halisi ya sherehe hiyo na kuamua kuifanyia katika bunge la muungano katika kipindi hiki.Waswahili wanasema hakuna ofa ya bure na hususani wakati huu ambao bajeti ya wizara ya nishati na madini itawasilishwa bungeni.Na inategemea kuwa wabunge kuhoji kulikoni katika migodi ya dhahabu.

hapo sijaona ajabu yeyote Mbona Sherehe za Mabalozi ya Tanzania huwa hazifanyiki Ubalozini kwao? Kwa Mfano huko Japan huwa zinafanyikia Mtaani pale Ubalozi unaona panafaa kuwakusanya watanzania.........kwa miaka kama 3 au 4 sherehe ilikuwa mwiko ubalozini........pale watu wanaenda kuomba visa wanasepa
 
hapo sijaona ajabu yeyote Mbona Sherehe za Mabalozi ya Tanzania huwa hazifanyiki Ubalozini kwao? Kwa Mfano huko Japan huwa zinafanyikia Mtaani pale Ubalozi unaona panafaa kuwakusanya watanzania.........kwa miaka kama 3 au 4 sherehe ilikuwa mwiko ubalozini........pale watu wanaenda kuomba visa wanasepa

Kwa nini nao wasifanyie hata Dar es Salaam na kuwaalika wacanada wezao?
Kwa nini target kubwa iwe kwa wabunge tu?
Kwa nini wasiwaalike wafanyakazi wa makapuni ya wacanada?
Kwa nini iwe kabla ya siku yao inayojulikana?
Kwa nini iwe kabla ya kuwasilishwa kwa budget ya wizara ya mali asili?

Tafakariiiiiiiiiiiiii.............Chukua hatuaaaaaaaaaaa.
 
Hawa jamaa hawana hata dakika moja ya kupoteza. wanajua kabisa sisi ni majuha wa kutupwa. wakati wa kujadiliwa sheria ya madini, jamaa walikuwa hawachezi mbali na Dodoma. sasa hivi pia, wanajua kwamba mwanasiasa wa Tz ukimpa peremende unachukua hata mkewe (au mumewe)
 
Back
Top Bottom