Nimeota jua kali limewaka usiku likatembea kwa haraka likaenda kugonga mwezi, kukatokea kishindo na giza flani.
Baada ya muda jua likabaki gizani lakini mwezi ukatoka ukiwa na rangi nyekundu. Najiuliza sana tafsiri ya ndoto hii, anejua anieleze tafadhali!
Huo mwezi mwekundu unaashiria umwagaji mkubwa wa damu baada ya matokeo kutangazwa na viongozi wa UKAWA watakapowashawishi watanzania wapigane kwa maslai yao binafsi!
Wait and Watch!!akili zimegota uwezo wa kufikiri nao umegota ss kilichopo ni siasa tuu.sijui baada ya 25 october itakuwaje
Nostradamus wa Tanzania