Nini tafsiri ya ndoto hii ?

Ni usiku wa manane.Namuona Job Lusinde akipanda jukwaani huku povu likimtoka puani,masikioni na nyoka wakali wakimtoka mdomoni...
Baada ya muda namuona BWM akirusha marungu huku na huko kuelekea pembe nne za nguo kuubwa yenye rangi ya kahawia.
Jambo linalo shangaza ni kwamba upepo mkali toka juu angani unavuma na kupeperusha marungu yale na yanakwenda kubonda nguo nyingine kubwa zaidi yenye rangi inayo fanana na majani mabichi!
Nikiwa usingizini bado,naona ghafla maji mekundu yakichuruzika toka kwenye nguo ile
ya kijani kuelekea kwenye nguo yenye rangi ya kahawia,lakini kwa mshangao mkubwa mabonge ya damu yanatoka ghafla toka kwenye nguo kahawia na kusukumia mbali maji yale kuelekea kusikojulikana!
Muda kidogo unapita na ndipo naona umati mkubwa wa watu walio vaa nguo zenye mistari ya rangi za manjano,kijani,nyeusi na bluu wakiwa na huzuni kubwa,wakiangalia watu waliopo jukwaani kwa matumaini makubwa!
Sehemu kubwa ya umati huo wanaonekana wamekonda,kudhoofu na wajinga na wote wamebeba mapanga,marungu na mitutu ya bunduki,lakini wanasubiri nguo ile ya kijani iwaokoe!
Baada ya hapo katika ardhi niliyo simama,nikaona udongo ule ukigeuka transparent,na chini yake nikaona sura ya mzee akilia!Mzee huyo alikufa akiwa na miaka 77,meno yake yamechongwa na ana mvi kichwa kizima!Hivyo nikajua huyu atakuwa mwalimu Julius K Nyerere.
Mzee huyu akapiga kelele,"Enyi watanzania msio na akili,acheni kulia!Tumieni silaha zenu kushambulia hilo vazi la kijani!"
ndipo watanzania wakaanza kurusha silaha zao kuelekea kwenye vazi la kijani,na vazi lile likapotea,huku vazi la rangi ya kahawia likianza kumea na kuchanua...
Watu wale umati wakaanza kunawiri na kufanya kazi kwa juhudi na kula matunda ya kazi yao!
Mzee yule chini ya ardhi akaanza kuchekelea na kufurahi.
Ghafla nikajikuta nimeamka asubuh,huku njaa kali ikiniuma!!
 
chondechonde senetor kwanza jiulize why mliachana na now uko na nani au bado uko vacancy? je wikend hii ulikuwa mpweke? au uligombana na uliyenaye now? mambo ya x-girl na boy friend kurudiana hiyo ipo sana esp yule wa kwanza kabisa watu wabaita kukumbushia ila angalia mmeachana kwa mda gani na kama hamkugombana hiyo ndo mbaya kabisa coz yy now yuko na nani ucje ukarudi mkaibia mkifumaniwa ni kifo rafki yangu kuna watu wanawivu mbaya bora aue na yy afungwe licha ya kufumaniwa y ujirisk na ngoma magonjwa mengi senetor kama ukiishinda nafsi ambayo ishaanza kukukumbushia mrudiane bila shaka umekumbuka zile sku mlizopeana raha tu na furaha je waweza kumbuka sku ambazo aliwah kukuudhi na kukukera? bila shaka kama ulikuwa umeshika sm kumpigia utaacha na kama hamna memory mbaya na yy je umewaza iwapo utajipanga kumtokea mara ya pili halafu anakutolea nje mbaya na kukupaka vibaya utakuwa mdogo kivp...lol mi naona negative tu kwenye kurudiana na x wako japo in nature x wako wa kwanza mkikutana after a long tyme watu huwa wanakumbushia take note MAGONJWA NYEMELEZI AMBUKIZI HATARI! ucje jutia nafsi bure

asante kwa mawazo yako bwana mkubwa.
 
Mkuu sio kila ndoto ina maana pia inategemeana na wewe huwa ukiota ndoto inakuwaje. Kwa mfano miaka 2 iliyopita i nilishawahi ota narudiana na x wangu . Mwezi mmoja baadaye nikakuta sms za mapenzi kwenye simu ya girl wangu wa wakati huo, kumpigia jamaa muhusika akasema hajawahi kumwambia kama ana mtu.Kipande cha sms nakinukuu " Nina hamu sana na wewe mpenzi, nina hamu nayo" Mpaka leo imekuwa historia
 
Duh, hiyo ndoto balaa. Ila cheNkapa kweli anaweza kurusha hayo marungu jamani? mi naona hiyo ndoto imempendelea, he is too weak even to hold it by himself.:behindsofa:
 
Mazishi ya CCM yatatawaliwa na vurugu sana. Na hivyo virungu vya mkapa maana yake ni kuwa atajaribu kupambana na wenzake kugombea urithi ambao ni kifo pia
 
Kwa huu mtiririko wa masimulizi, hii ni ndoto kweli. Ila ni mawazo subconscious ambayo ulitamani katika uhalisia yatokee. Na katika uhalisia yatatokea
 
big up muotaji nimeikubali , ukombozi huoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo waja. pipoooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooz , power
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom