Wanakumiss mno hao watu pia wanakuhitaji ujiunge nao... Kemea kama bado unapenda kuishi.
hii ndoto kwa kawaida sio nzuri inatakiwa kama wewe mkristo iakatae kabisa hiyo hali kwa sababu ni roho ya mauti inakunyemelea wewe ,kuota watu waliokufa haitakiwi kabisa, mtu akishakufa amekufa basi, omba kataa
Nimeota niko watu wengi sana waliokufa zamani, na mimi ndio kiongozi wao licha ya kwamba sijafa.
Nimejiuliza maswali mengi sana sijapata jibu
Kama uliota unakimbizwa na mnyama yeyote yule halafu miguu imefunga
Kwa wanaume inamaanisha kuwa kama kutakuwa na maandamano yoyote
yawe ya vurugu au amani nenda usiogope kwani kama wataibuka
manjagu wewe ndio utaongoza kwa kufyatuka mbio hivyo hutakamatwa.
Hiyo ina maanisha kuwa kuna uwezekano wa kufungwa, kupigwa au kuuwawa kwaukiota umeokota hela za richmond?
Kama uko kijijini kuna uwezekano wa kuangukiwa na ukuta wa choo na kama uko mjiniukiota unam Cameron shoga inamaanisha nini? Nalog off