Ndugu wanajamii forum naamini kesho au keshokutwa kama sio mimi au ni wewe tutakuwa katika nyasifa mbalimbali za uongozi hivyo pamoja na kutoa maoni kwa viongozi waliopo itakuwa ni nafasi kwetu kama viongozi tunaokuja, kuelewa na kuondoa kabisa undugu, ukabila na udini katika ajira kwani jambo hili ni hatari kwa maendeleo ya watu na taifa kwa ujumla. Naomba tuchangie mawazo nini suluhisho la tatizo hili katika sekta ya ajira.